mwanamke soma hapa

mwanamke soma hapa

nadhani idadi sio ishu,waweza kuta hao kati ya hao 35 ni hao watatu anaowasema ndio wamerudia kuchapa na waliobaki walipiga kimoja kimoja wakatembea kwahiyo binti bado yuko fit downstairs.ushauri wangu kwa binti ni kupunguza auto-search dunia imeharibika!
 
hiyo punana yako si imeshakuwa lap lap sasa?
Haiwezi kuwa hivyo.
Kutembea na mtu mmoja zaidi ya mara mia, na kutembea mara moja moja na jumla ya watu 35, ni kupi kunafanya iwe lapulapu?
 
Haiwezi kuwa hivyo.
Kutembea na mtu mmoja zaidi ya mara mia, na kutembea mara moja moja na jumla ya watu 35, ni kupi kunafanya iwe lapulapu?
mkuu kama ni hivyo piga 100 x 35 = ?
 
wewe si timamu nenda mirembe au mawenzi wakakuchek, usije ukadhalilisha wanawake hapa, peleka huko. olewa na wote
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi

Mwanakungumbala, hilo jina linahusiana na mavitu unayoyafanya? kama ni hivyo naomba badilisha jina. Punguza speed, lakini hata hivyo 35 sio wengi ki hivyo, kama ukiwahesabia na wale mlioanza nao shule ya vidudu, halafu darasa la 1,2,3,4,5,6,7 halafu form 1,2,3,4,5,6 na ukijumlisha na wa mtaani bado sio mbaya.
Wanaume wanatongoza bwana, na kama ukiwa mzuri na una roho nzuri ya huruma, na unakaa maeneo yenye watu wengi kwa mfano flats za N.H na kadhalika, hiyo namba ni ndogo.

Olewa na mmoja wa hao watatu ambaye hana mke.
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
sasa uhusiano kati ya 23 na 35 ya husu nin?
 
Hapo unaweza kukuta amejitahidi sana kupunguza hiyo list wakabaki 35.achilia mbali wale ambao hawakumbuki
 
So what? huyo mwanamke mmoja ndio utukane wanawake wote? hata mama/dada/shangazi/bibi zako nao ni wa ajabu sio?

Mtuache Tupumue!!!!!
MMAHE tatizo lako ni nini?

Umepewa uke na Muumba wa na kwa kazi gani?
Fikiri mara mbili kabla ya kufikiria kutukanwa au kudhalilishwa!
Achana na mawazo ya mfumo dume;
Hivi angekuwa nyamaume itoe idadi hiyo ungejisikiaje?
Naamini wanawake karibia wote (68% according to normal distribution) wangeona sawa tu.

Achani fikra mgando, kazi ya uke ni kupokea uume ili kustarehe achana na kuendeleza kizazi:​
hiyo ilikuwa zamani za babu na bibi yako;
Siku hizi ni kugegedana tu.


Bazazi ni Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
MMAHE tatizo lako ni nini?

Umepewa uke na Muumba wa na kwa kazi gani?
Fikiri mara mbili kabla ya kufikiria kutukanwa au kudhalilishwa!
Achana na mawazo ya mfumo dume;
Hivi angekuwa nyamaume itoe idadi hiyo ungejisikiaje?
Naamini wanawake karibia wote (68% according to normal distribution) wangeona sawa tu.

Achani fikra mgando, kazi ya uke ni kupokea uume ili kustarehe achana na kuendeleza kizazi:​
hiyo ilikuwa zamani za babu na bibi yako;
Siku hizi ni kugegedana tu.


Bazazi ni Bazazi!

POVU la nini mkuu,hiyo post imeeditiwa,mwanzo aliandika 'wanawake hawa ni watu wa ajabu sana' ndo namshangaa uo uajabu wetu uko wap? hata ndugu zake nao wa ajabu? mtu kutaja idadi ya madushelele imekua ajabu? hope umeelewa bazazi!
 
POVU la nini mkuu,

MMAHE! Hujambo lakini.
Povu hili ni povu la bahari iliyochafuka;
Waweza kuogelea katika povu tajwa?

Nilikujibu kulingana na hoja ulizotoa;
Sikujali hali uliyokuwa nayo ulipotoa hoja.

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
tatizo kama olewa na wote kama unawapenda kama umeza na wanaume 35 hao 3 huwezi kuwatimia wote tena kwa wakati mmoja
 
Inategemea kwa matumizi gani.... maana hata gari ikishatumika sana haifai kitu zaidi ya scraper... for recycling..
kwaio, unamsema dada wa watu screpa? hahahhhahah ametisha bwana mdogo
 
asakute same naona kana kwamba 35 ni idadi ya kutisha sana, au na ushamba unanisumbua?

Madame B hawatoi cheti ukipima ,au nikupe na sababu?


unashanga nini Mamndenyi mbona idadi ya kawaida hiyo ,unachezea k wewe? eti iote sagamba kakuambia nani.


lap lap nani kakuambia ,usije ukajikuta umeoa mwenye idadi zaidi ya hiyo


mkuu mbona hiyo idadi ya kawaida sana ,au huongeagi vizuri na hao viumbe wakupatie siri zao?
 
Last edited by a moderator:
asakute same naona kana kwamba 35 ni idadi ya kutisha sana, au na ushamba unanisumbua?

Mamndenyi nadhani wewe ni she ,hebu kaa na ma-she wenzako muongee kwa uwazi utakuja kujua mengi.........mimi ni He ila ninauwezo mkubwa sana wa ushawishi kiasi kwamba its easy and simple kwa mwanamke to pass her secrets include dirty ones.
kwakifupi wanawake wanasiri nyingi sana na mambo mengi mno ,kiasi kwamba nikagundua wanaume tunajidaigi wajanjaaaa lakini hamna kitu kabisa tukijilinganisha na wanawake wetu na mambo yao.
 
Last edited by a moderator:
asakute same kwa siri kweli wanawake tunazo, na sizani kama kuna kitu ambacho sikijui kuhuse ;ke; ila 'ke' siyo rahisi kukuambia mambo yake ya undani, hata huyo aliyesema ametembea na 'me' 35 inawezekana ni fix zake tu.

Mamndenyi nadhani wewe ni she ,hebu kaa na ma-she wenzako muongee kwa uwazi utakuja kujua mengi.........mimi ni He ila ninauwezo mkubwa sana wa ushawishi kiasi kwamba its easy and simple kwa mwanamke to pass her secrets include dirty ones.
kwakifupi wanawake wanasiri nyingi sana na mambo mengi mno ,kiasi kwamba nikagundua wanaume tunajidaigi wajanjaaaa lakini hamna kitu kabisa tukijilinganisha na wanawake wetu na mambo yao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom