mwanamke soma hapa

mwanamke soma hapa

kumbe limeisha kua beseni sasa 35 si mchezo na kila m2 na size yake na utakae mpata shughuli anayo sasa cjui ataingiza mguu au dushelele
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
...natafuta miwani yangu ya kukuzia ubongo ili niivae kwenye ubongo wangu niweze kukutafakari vizuri. bahati yako sijaipata. ila kwa kukutafakari kwa haraka wewe ni binti kamalaya sana! kama si hivyo basi umeleta mada yako ili kutuchezea akili (to make funny of us) au kutafuta majogoo humu JF.
 
Kupima VVU unapewa cheti? Hakuna kitu kama hicho!!! Unapewa kakaratasi ka kurudi kama hali ni njema upimapo mara ya kwanza!! Kama una maambukizi unapewa referal kwenda vituo vya kupima CD4 ili wajue status for the first time na wakupe namna ya kuishi vema ili kinge isipungue. Pale unapewa kadi na namba yako maalum kwa kuhudhuria clinics!! Wangekuwa wanatoa vyeti ingekuwa ni hatari, huko mitaani vingekuwa ni mradi tosha kama ilivyo kwa vyeti fake vya elimu!!

Asante Doctor.
 
me sijaelewa kitu u mean hao 35 walikuwa wanakupitia tu ila hao 3 ndo uko nao kwa sasa? b4 hujafanya maamuzi ya yupi akuoe tafakari vizuri kwa umakini if u ril wanna enter in kwenye ndoa coz usije ukaendeleza ile chain ukiwa kwenye ndoa itakuwa hatari sna na kwa ushauri mdogo tu wanaume wote wanafanana so usije ukawa unadbadili unadhani utampata wa tofauti la hasha walizaliwa tumbo moja wote la mwanamke!
 
Kama hujafanya maamuzi naomba ujiulize haya....Je uko tayari kabisa kuolewa? Je umeamua kutulia na kuachana na uzinzi? Je ukiolewa upo tayari kumvumilia huyo mwanaume ukaambatana na yy tu wengne wote utawaepuka? Kama jibu Hapana tafadhali usiolewe usje ua mtu kwa presha, kama Ndiyo tafadhali achana na huyo aliye na mke mwenye mimba chagua kati ya hao wawili yupi anakufaa.Fanya maamuzi sahihi na si nusunusu maana itakucost.
 
[/COLOR]

Attach Hiko Cheti hapa.

Madame B hawatoi cheti ukipima ,au nikupe na sababu?
lazina hiyo kitu iwe na sagamba Loh 35?

unashanga nini Mamndenyi mbona idadi ya kawaida hiyo ,unachezea k wewe? eti iote sagamba kakuambia nani.
hiyo punana yako si imeshakuwa lap lap sasa?

lap lap nani kakuambia ,usije ukajikuta umeoa mwenye idadi zaidi ya hiyo

mkuu mbona hiyo idadi ya kawaida sana ,au huongeagi vizuri na hao viumbe wakupatie siri zao?
 
Last edited by a moderator:
Kapime tena maana huwezi kutembea na wanaume wote 35 ukawa salama, wamekuficha majibu wewe. Nenda kapime hospitali nyingine tofauti na hiyo ya mwanzo
 
Ingekuwa kila ukigegedwa unatanuka kama shimo linalopitiwa na maji ya mvua za mafuliko nahs saiz ungekuwa na Shimo ambalo mtu anaweza ingia huku amesimama
 
Ameamua kubadilika mpeni ushauri kuhusu hao watatu. Kama ni suala la ndoa, achana na mme wa mtu. Inaonakana unampendea pochi tu. Lete wasifu wa hao wawili tuchangie mawazo
 
Kweli wewe ni noma!!! Yaaani umeiona na kuitumia dushelele 35 ndani ya miaka 23 tu!!!!
Hongera lakini ndio maisha uliyochagua.
 
duh we ni hatari ina maana kila baada ya ndani ya hiyo miaka 23 mwaka ulitoka na mwanaume mpya, plus kuna miaka sita uliyokuwa unagongwa na wanaume wawili kwa mpigo, we ni noumeeerrrrrrrr, mie nina 24 yrs so far nimetoka na wanaume watatu, hivyo ina maana ndani ya miaka nane nilitoka na men wa3 tu....punguza hiyo spidi una haribu mazingiza ya huko dauni shosti
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
 
Nyie wanaume bora mmuache tu, nyie mnajua hao girls zenu walishakula vichwa vingapi? Au kwakua hawajasema ukweli wao?
Mkiambiwa baby we ni wa pili unacheeeka sharubu hilooo!!!

Bora umesema ukweli japo si sahihi sana kusema kwa watu hivi.....kama ana mwanamke na ni mjamzito tayari chapa lapa, kati ya hao wawili angalia anaekupenda olewa nae!!!

"Hakuna alie msafi" source: lara 1
 
WAJINGA NDIO WALIWAOOO!!!!!!! KEKUNDU KEKUNDU!!!!!!!!!!!

Pole yako shosti si kidude kitakuwa at scrap value??????? Umepata faida gani haswaaa kwa hayo uliyoyatenda????????
 
Miaka 23 umetembea na wanaume 35!! Wewe ni changudo au ni mwanamke gani? Midushelele 35 kwa size tofauti utakuja kutosheka na moja kweli!! Ni lazima uwe unatafuta maana moja haikutoshi. Una bahati kweli hukuukwaa!! Tupe siri ya mafanikio hukupata VVU!!! Dunia imekwisha au ni sisi tumekwisha!!!??

Mh,jamani....mbona kuna wanaume wametembea na wanawake zaidi ya 100,wee unashangaa 35?mwacheni mwenzenu
 
Back
Top Bottom