Mwanamke SHANGINGI...............

Mwanamke SHANGINGI...............

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Ni kawaida katika mazungumzo kusikia watu wakisema..
'nimepata bonge la 'shangingi'
au mke wa fulani 'shangingi la kufa mtu'
au mitaa ya sinza kuna 'mashangingi ya ukwel'....

na hata wanawake utasikia 'wifi yangu fulani 'shangingi' hasa..
na kadhalika...........

sasa hapa nauliza usahihi wa neno shangingi ni upi?
na mwanamke 'shangingi' ni yupi???

je mwanamke mwembamba anaweza kuwa shangingi??????

au mwanamke mfupi ????

mwanamke mpole sana kama mlokole ??????

je wanawake wanene na wenye maumbo makubwa automatically ni mashangingi????

msichana teenager anaweza kuwa shangingi???

ushangingi nini hasa?umbo au tabia?
tabia zipi?????????

je unaweza kusema natafuta shangingi la kufa mtu????lol

au kumwambia mkeo ..nataka uwe shangingi hivi '??????lol

tazama.. mfano wa magari.....magari mashangingi ni ma land cruiser na ma nissan
yote aghali makubwa na yanatumia pesa nyingi ku ya maintain....
huwezi kuita corola shangingi...lol
 
Mi nijuavyo ni tabia!
Naona kama ni mwanamke ambaye hapendwi kupitwa na jambo mtaani, ya mtaa huu anayapeleka mtaa wapili na kugombanisha watu!
Lakini anapokuwa na umbile la unene ndipo maana ya ushangigi huswihi zaidi kuliko akiwa na umbo kama la Sweety Radhia!
 
Mi nijuavyo ni tabia!
Naona kama ni mwanamke ambaye hapendwi kupitwa na jambo mtaani, ya mtaa huu anayapeleka mtaa wapili na kugombanisha watu!
Lakini anapokuwa na umbile la unene ndipo maana ya ushangigi huswihi zaidi kuliko akiwa na umbo kama la Sweety Radhia!

hapo ndo penye utata
kwa nini unene iswihi zaidi????
 
heri ya mwaka mpya the boss,
mm picha niliyo nayo ya mwanamke shangingi,ni mnene,anajipenda,wengi wao huvalia magold mengi mengi,pia sio wapole,ni wale wajanja wajanja hivi,hawana aibu huongea kwa sana na pia shangingi mara nyingi anakua hajaolewa na anajua sana jinsi ya kuwachuna wanaume,yaani wengi wao anaweza kuwa anaishi mjini miaka yote hana kazi lkn anamabuzi yake ya uhakika,pia wengi wao wanakua waliolewa wakaachika na wana watoto,ila hata wasichana pia wanaweza kuwa shangingi,mim naona ushangingi sio sifa nzuri.
 
Mi huwa naona watu huwa wanarefer mwanamke mwenye umbo kubwa,linalopenda starehe na kujiremba kwa saaana
 
Mi huwa naona watu huwa wanarefer mwanamke mwenye umbo kubwa,linalopenda starehe na kujiremba kwa saaana

which means mwanaume anaweza mwambia mkewe badilika sweetheart...nataka uwe shangingi bana..lol?
provided mwanaume anataka mkewe ajirembe na kupenda starehe??????lol
 
dah inabidi nikapunguze haya manyama uzembe:a s-coffee:
sio unene tu? Yaani linakuwa lijanja janja la mjini lipstick full time na wanja na mahereni,linajua kila kitu full starehe ,mabuzi ya kufa mtu yaaani usipime kwa lishangingi
 
heri ya mwaka mpya the boss,
mm picha niliyo nayo ya mwanamke shangingi,ni mnene,anajipenda,wengi wao huvalia magold mengi mengi,pia sio wapole,ni wale wajanja wajanja hivi,hawana aibu huongea kwa sana na pia shangingi mara nyingi anakua hajaolewa na anajua sana jinsi ya kuwachuna wanaume,yaani wengi wao anaweza kuwa anaishi mjini miaka yote hana kazi lkn anamabuzi yake ya uhakika,pia wengi wao wanakua waliolewa wakaachika na wana watoto,ila hata wasichana pia wanaweza kuwa shangingi,mim naona ushangingi sio sifa nzuri.

wapo unakuta kaolewa,ana pesa na kazi nzuri
but still unasikia ahh yule fulani ni bonge la shangingi.....lol
 
Sikiliza ule wimbo wa NGALULA wa L'Orchestre Marquis du Zaire (circa 1982) ndio utaelewa asili na maana ya neno SHANGINGI
 
which means mwanaume anaweza mwambia mkewe badilika sweetheart...nataka uwe shangingi bana..lol?
Provided mwanaume anataka mkewe ajirembe na kupenda starehe??????lol
hujaelewa yaani shangingi ni kama lichangudoa sema linakuwa lipo advanced kidogo.so mke hawezi kuwa shangingi
 
ushangingi sio umbo.
ni namna m2 anavyojiweka yan ana mambo meengi hapitwi na ki2 yan.
kwenye umalaya yupo, ulevi yupo, na fujofujo kibao.
maranying huwa wanapenda kujikoboa haswaa na kujiremba kupitiliza yan muda woote.
hao ndio mashangingi ss.
 
heri ya mwaka mpya the boss,
mm picha niliyo nayo ya mwanamke shangingi,ni mnene,anajipenda,wengi wao huvalia magold mengi mengi,pia sio wapole,ni wale wajanja wajanja hivi,hawana aibu huongea kwa sana na pia shangingi mara nyingi anakua hajaolewa na anajua sana jinsi ya kuwachuna wanaume,yaani wengi wao anaweza kuwa anaishi mjini miaka yote hana kazi lkn anamabuzi yake ya uhakika,pia wengi wao wanakua waliolewa wakaachika na wana watoto,ila hata wasichana pia wanaweza kuwa shangingi,mim naona ushangingi sio sifa nzuri.

naomba kuongeza hapa, magold yenyewe utakuta makubwa makubwa, na mengi yanakuwa sio real gold, wengi wanakuwa starehe kwa sanaa, kazi hapana.
 
tazama.. mfano wa magari.....magari mashangingi ni ma land cruiser na ma nissan
yote aghali makubwa na yanatumia pesa nyingi ku ya maintain....
huwezi kuita corola shangingi...lol




Lmao.... Mfano wako Umekaa kishangingi....lol...

Kwa mktadha huu naona Boss una idea na ngingi linavokua.
 
heri ya mwaka mpya the boss,
mm picha niliyo nayo ya mwanamke shangingi,ni mnene,anajipenda,wengi wao huvalia magold mengi mengi,pia sio wapole,ni wale wajanja wajanja hivi,hawana aibu huongea kwa sana na pia shangingi mara nyingi anakua hajaolewa na anajua sana jinsi ya kuwachuna wanaume,yaani wengi wao anaweza kuwa anaishi mjini miaka yote hana kazi lkn anamabuzi yake ya uhakika,pia wengi wao wanakua waliolewa wakaachika na wana watoto,ila hata wasichana pia wanaweza kuwa shangingi,mim naona ushangingi sio sifa nzuri.
unatafutwa dada? Umekula vya watu humu kuna rb yako kimbia
 
Shangingi ni vitendo vyake vya kishangingi au niseme nivitendo vya ki**laya kwa nnavyo elewa mie.... kwahiyo hata mwembamba pia ndio hao hao akiwa na tabia kama hiyo...

kwa kawaida ukimuita mwanamke m.a.l.a.y.a...anakasirika na ni ugomvi
lakini kuna wanawake ukisema 'we ni bonge la shangingi hawakasiriki....mostly inahusu umbo...
 
Back
Top Bottom