Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

Shetani anatumia silaha hatari sana iitwayo mwanamke ili kumtia matatizoni au kumwangamiza kabisa mwanaume:- Cjui kama mnakumbuka Eva alivyomtia majaribuni baba yetu Adam.....Au mmesahau mbabe Samson alivyoingizwa mkenge na Delilah.......Jaman pamoja na kwamba hawa viumbe ni mama zetu, dada zetu na pia ni wake zetu lakin mjue mtoa mada yuko sahihi
duh haya sawa sisi rafiki wa shetani . mnona nyie wa Mungu mnakubali kudanganywa na rafiki wa shetani
 
nakubaliana na wewe wanawake tuna maamuzi ya haraka lakini huwa tunajutia sana maamuzi yetu,,. kumbuka mwanamke anaendeshwa na hisia
 
Mtoa mada! Umenigusa sanaa! My girl alinichomolea ktk mazingira tatanishi sana! Yaani ni zaidi ya wakatilii!
 
Wewe ukimkuta mkeo yuko na mwanaume mwingine au amezaa mtoto na mwanaume wingiine utaenda mnunulia gari kwa kumpongeza? Au unaweza kufanya ukatili wa kutisha mpk jamii ishangae.
Punguzeni kusema kina mama wanaroho mbaya unajua mama yako amesactifice kiasi mpk ukafika hapo ulipo? Muwe na heshima kwa wanawake. Kama huwezi heshimu mkeo at least mheshimu mama akon na bintiyo.
 
Kweli kabisa wanawake wakiamua kukubadilikia dunia yote utaiona chungu, wakati ambao naupitia hivi sasa ni mgumu sana kwa sababu ya mwanamke na sikuwahi kuwaza kama angeweza kuja kufanya alichofanya. Nakiri na nitazidi kukiri kuwa wanawake ni viumbe wenye roho mbaya sana tena wanapoona kuna tatzo wao ndio wanakandamiza hapo hapo.
Mnajiangalia upande wenu!!
Sometime nyie ndo chanzo. Mtoto wa watu anavumilia mpaka anafika mwisho. Akichukua maamuz ndo mnaanza kusema wanawake wakatili.
 
Mi naona tusiwaweke watu katika mazingira ya kukosea ili kuhalalisha mawazo yetu nimeona hii pande zote hususani kwa vijana ambao hawajakomaa kama mleta mada unafanya kosa halafu unataka mwenzako ashangilie ili umuone malaika sio vema hebu tuwatendee wengine kama ambavyo mngependa kutendewa.
Kwel kabisa.
 
kwa hiyo sisi ni watu wa shetani???????????????????

Cjasema hivyo lakin natambua kwamba nyie ni viumbe wa ajabu sana hapa duniani ndo maana kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kwamba:- Sisi tunatakiwa kuishi na nyie kimachale sana
 
Cjasema hivyo lakin natambua kwamba nyie ni viumbe wa ajabu sana hapa duniani ndo maana kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kwamba:- Sisi tunatakiwa kuishi na nyie kimachale sana

Ha ha ha haki ya nani nitakubaka unaongea maneno duh
 
mara nani kama mama!mara mwanamke mkatili!,tushike lipi ss?kuna wanaume wanafanya matendo ya kikatili haiwezi kujumuisha wanaume wote.tunapofanya hivyo tujaribu kupanua mawazo yetu kisa mke wangu amenitifua nakurupuka wanawake wote wakatili, hii inaonyesha jinsi watu wasivyokuwa na upendo na wake zao wanasahau mama dada bibi shangazi mamdogo ni wanawake!na utake usitake hakuna binadamu yeyote dunia hii alie karibu na mtu zaidi ya mke au mume ndo mana maandiko matakatifu yanasema mwili mmoja labda uamue kuwa binafsi uishi peke yake.hakuna raha dunia hii zaidi ya mtu kumpata mpenzi wa kweli!
 
ligera siku chache zilizopita ulikuja na mada nzuri ya mambo ya hisa.....leo ni tofauti.....hujatenda haki....
 
Hii mada ni nzito sana kwa upande wangu ngoja nipite kwa mluzi
 
Back
Top Bottom