kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,490
- 1,363
Mwanamke by nature ni mvumulivu sana hasa katika maswala ya ndoa,,,, lakini once akisema inatosha huwa inatosha kweli,,,,,,, huwa hawana point of return,,,,,,ndiyo hapo anapoonekana katili,,,,
Wewe ni itezi ya uyole au itezi dume?