Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

Unajua ndugu yangu ukitaka kujua uhondo wa ngoma ni uingie ucheze sasa unasema upuuzi kama huo eti uzae nje ya ndoa atafanya nini? Sasa ingekuwa wewe mkeo apate mimba ya mwanaume mwingine utampokea na kumwambia hongera mke wangu maana umefanya vyema au utamkata na mapanga acha ujinga wewe roho mbaya au nzuri itategemea na mazingira mtu aliyopo

Mkuu, lakini katika mada yako umeonyesha kuwa wewe ndiye ulianza kumwuliza upuuzi kama huo, naye akakujibu kuwa usimtakie mada kesi. sasa inakuwaje wewe uanze tena kulalamika kuwa mwanamke ni kiumbe katili...........ilihali wewe ndo ulinza uchokozi
 
Hawa viumbe wa ajabu sana yaan hawaeleweki kwenye huruma wapo kwenye ukatili wapo.

Wapo wenye fadhira na wapo wasio na fadhira. Acha tuwaangalie tu walivyo ukitaka kuwa define hutapata jibu sahihi.
Bora tu waingizwe kwenye maajabu saba ya dunia

Point. Wanawake ni shenzi taipu
 
Mkuu, lakini katika mada yako umeonyesha kuwa wewe ndiye ulianza kumwuliza upuuzi kama huo, naye akakujibu kuwa usimtakie mada kesi. sasa inakuwaje wewe uanze tena kulalamika kuwa mwanamke ni kiumbe katili...........ilihali wewe ndo ulinza uchokozi

Sawabo umesema mwambie yule lofa ajifunze jinsi ya kutreat wanawake ni wazuri ila ukiwazingua ni wabaya hatariiiiiii
 
Wanawake wangekuwa wakatili kama mtoa mada alivyokomalia nakwambieni dunia ingekuwa sehemu yenye huzuni na isiyofaa kuishi,tuangalie kwa mama zetu waliotangulia kuona jua,waulizen ni maudhi mangapi wamefanyiwa na baba zetu na bado wakasamehe na kuwastili na aibu,sasa makosa hayohayo wangefanya baba zetu ni wazi kila nyumba ingekuwa na huzuni manake reaction za wanaume katika makosa zinamadhara ya hapohapo wakati wamama wanasamehe,wanawake wanadhalilishwa sana,wanabakiwa watoto na waume zao,wanaletewa vwanawake ndani,wanabakwa,wanafanyiwa makubwaa lakini mwisho wa siku wanasamehe,lakin lait kama wanaume mgefanyiwa hayo kiukweli damu ingenuka kila nyumba.mwanamke anapandikizwa chuki na matendo ya mwanaume.happy to be a lady
 
Sio kwamba nawadharau H.A.W.A(mwanamke)..kwanza ni kiumbe wa mwisho kuumba au muumba alicopy na kupaste kwenye ubavu wa Adamu. Kwa hiyo Mimi nadhani hakukamilika kwenye tabia..Tafakari hili jina H.A.W.A lina maana kubwa sana na ni shidaaa
 
Wanawake wangekuwa wakatili kama mtoa mada alivyokomalia nakwambieni dunia ingekuwa sehemu yenye huzuni na isiyofaa kuishi,tuangalie kwa mama zetu waliotangulia kuona jua,waulizen ni maudhi mangapi wamefanyiwa na baba zetu na bado wakasamehe na kuwastili na aibu,sasa makosa hayohayo wangefanya baba zetu ni wazi kila nyumba ingekuwa na huzuni manake reaction za wanaume katika makosa zinamadhara ya hapohapo wakati wamama wanasamehe,wanawake wanadhalilishwa sana,wanabakiwa watoto na waume zao,wanaletewa vwanawake ndani,wanabakwa,wanafanyiwa makubwaa lakini mwisho wa siku wanasamehe,lakin lait kama wanaume mgefanyiwa hayo kiukweli damu ingenuka kila nyumba.mwanamke anapandikizwa chuki na matendo ya mwanaume.happy to be a lady

mwanamke anahuruma kwa watu wanaomhusu tu . kama watoto wake , wazazi wake na wakati mwingine mume wake lakini zaidi ya hapo ni shiiiiiiida.
 
Back
Top Bottom