Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 732
- 1,199
Mkuu chukua ushauri wangu ,ukipuuzia sawa ila ipo siku utakuja kukumbuka maneno yangu, ukiwachukulia serious kwny maisha yako utakufa mapema [emoji3]ngoja!! kwanza mkuu, huyo mwanamke labda ni chombo cha starehe kwa maoni yako, sawa.
lakini usiwajumrishe wote kwamba ni vyombo vya starehe.[joke]
kila mtu aamini anachoamini, lakini usijaribu kuaminisha wengine.
Hahaha mlemle yaani haiwekani kuwa na mwanaume ukunyandue bure utamvumilia wiki tuu then kifatacho ni...Ndo mana unaambiwa usijikweze, kama huna kazi sema sina kazi alafu mwanamke mwnyw ndiyo atajua kuwa akupende au lah. Lkn sio useme una kazi kumbe hauna kazi, na haiwezekani uwe na kazi alafu ata vocha unashndw mtumia mpnz wako uki vyombo unakula, haiwzkn kwa ilo jambo.
Mimi hata sina maumivu tena,nimeelewa namna ya kukwepa stress zenu wanawake sitawaruhusu tena mnikoseshe furaha yangu.Ulivyoandika unaonekana bado una maumivu kwahiyo umeamua kutoa hizi kejeli ili kupunguza machungu, pole sana.
Inaweza kuwa kweli pia ..nawaheshimu sana wanawake aise..Hajakupenda ndo mana ameweza kukwambia ivyo na kuondoka. Ss ww haina haja ya kumng'ang'ania, tafuta anayekupenda. Anayekupenda hawez kukuacha unalia au kuondoka kisa pesa au lah kit fulni.
Hahaha mlemle yaani haiwekani kuwa na mwanaume ukunyandue bure utamvumilia wiki tuu then kifatacho ni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio Thread yangu bora kabisa kwa mwaka 2020 sidhani kama kuna thread nyingine bora itakayokuja mpaka mwaka unaishaTangu nilipotoswa na manzi wangu niliyekuwa nategemea kumuoa akili ilivurugika maana alianza visa mpaka ila kibishi nilizidi kumganda siku moja akanitumia text Tafuta hela kwanza using'ang'anie wanawake wazuri na hela huna.
Nilihuzunika aisee ila siku moja nikakumbuka vitabu vyangu vya kisw mwanamke amechorwa km chombo cha starehe nikajisemea ndomaana.
Ajabu nilianza kuamini kabisa usemi huo na machungu yangu yakaanza kupoa nikawaza tuu km ni chombo cha starehe hakiwezi kutoa huduma bila gharama,na kweli haiwezekani kwenda bar ukalewa bure,haiwezekani kwenda club bila hela haiwezekani kuangalia chaneli za Tv bila kulipia kweli nitafute hela nikirudishe chombo changu cha starehe niendelee kula burudani.
Ndo maana wanawake kiasili wameumbwahivyo kutoa starehe majukumu mengine nadhani wanabebeshwa tuu,na ni kweli ukiwa na hela hakuna mwanamke anaweza kukukataa.
Mondi anawazalisha anawaacha wanasema anauzalilishaji wa kijinsia lakini wakati huohuo kila mwanamke anaomba ampate Domo.
Nilichojifunza ukiwachukulia wanawake kama vyombo vya starehe utaishi bila stress,maana ukiachwa utatafuta chombo kingine maisha yanaendelea achana na mambo ya kununua gunia mbili za mkaa huko ni kukosa maarifa ya kuishi na wanawake .wao waliumbwa kwa ajili ya kumfariji mwanaume kwa starehe na kuendeleza kizazi cha mwanaume.
Usihangaike kumfanya mwanamke awe suppotive kwny maisha yako kiuchumi utakuwa dissapointed sana don't take them too serious hutajutia
Watumie tuu kama mfalme selemani alimiliki wanawake 700 pamoja na kuwa na hekima zote zile mimi ni nani sasa nimchukulie mwanamke tofauti .
King mswati anaingeza vyombo vipya kila mwaka mimi ni nani?
Cha msingi uweze kulipia gharama zao tuu wanapatikana na mimi nimdjifunza kutowachukulia serious kama zamani mpk nakuwa na stress.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndiyo mentality zinafanya muliwe tuu baaaasNdo mana unaambiwa usijikweze, kama huna kazi sema sina kazi alafu mwanamke mwnyw ndiyo atajua kuwa akupende au lah. Lkn sio useme una kazi kumbe hauna kazi, na haiwezekani uwe na kazi alafu ata vocha unashndw mtumia mpnz wako uki vyombo unakula, haiwzkn kwa ilo jambo.
Tena pevu hasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kama unaweza kumla hata binti yako utashindwaje mama ako si ana k tu Kama hao wengine,.Apart from my Mom, naweza kura demu yoyote!
"My pain may be the reason for somebody's laugh,but my laugh must never be the reason for somebody's pain"
Charlie Chaplin
Alafu tukiwala na ku run wanalalamika, sisi tunaishi nao kulingana na walivyo[emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu tukiwala na ku run wanalalamika, sisi tunaishi nao kulingana na walivyo[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole pole Beef. Waacheni mama zetu jamani [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Kama unaweza kumla hata binti yako utashindwaje mama ako si ana k tu Kama hao wengine,.
Mbona povu hivo mrembo ! NajuaMnavyowananga wanawake kama vile nyinyi ni malaika wakati nyie ndo washenzi hamfai kwa kupikwa wala kulumangia pumbavu zenu
Duuh tumekukosea nini tena bibieMnavyowananga wanawake kama vile nyinyi ni malaika wakati nyie ndo washenzi hamfai kwa kupikwa wala kulumangia pumbavu zenu