Tulia wewe acha porojo...Uonaonesha huujuwi Uislam. Ni wapi hapo ulipoambiwa katika Uislam kuwa "mwanamke ni chombo cha kukustarehesha"?
Halafu unaweka mifano ya "makahaba" na ufuska kuuelezea Uislam?! Umepotoka kabisa kijana kuliko hata ule upuuzi wako wa "adhabu ya kaburi".
Qur'an ndiyo kitabu pekee chenye kauli ya ..."basi oeni mmoja tu”...
Sijui punguani kama wewe kuwa unalielewa hilo. Rejea Qur'an 4:3
Kama Qur'an kwako ni porojo basi wewe utakuwa ni shetani, hakuna kingine.
Kama Qur'an kwako ni porojo basi wewe utakuwa ni shetani, hakuna kingine.
Nimenukuu Aya ya Qur'an na namba zake nimeweka.
Nimenukuu Aya ya Qur'an na namba zake nimeweka.
Naona wewe ndiye unahororoja na kubwabwaja bila mpango.
Labda mama'ko ndio starehe ya wanaume.
Qur'an inatufundisha kuwa mwanamke ni stara kwa mwamme na mwanamme ni stara kwa mwanamke.
Hayo mengine ya "mwanamke kuwa ni starehe ya mwanamme" itakuwa umejifunza kutokana na mamako.
Acha perception za kimtaani wala haziwezi kukufikisha popote, muondoe mama yangu kwenye mawazo yako ya kipuuzi, kama unaona kwako ni sawaa kumtaja mzazi wako kwenye kashifa. do it for your ownKasema wanawake, unafikri yeye hajui kama mama yake ni mwanamke.
Msipende weakness za Hovyo.
Wanawake wote ni chombo cha starehe,
Mama yako ni chombo cha starehe cha baba yako, Dada yako ni chombo cha starehe kwa njemba zingine.
Tunapokezana vijiti.
"WANAWAKE NI CHOMBO KIKUU CHA STAREHE"
Mkuu kama vipi mtoe mama wa kwako na umbadilishe jinsia.Acha perception za kimtaani wala haziwezi kukufikisha popote, muondoe mama yangu kwenye mawazo yako ya kipuuzi, kama unaona kwako ni sawaa kumtaja mzazi wako kwenye kashifa. do it for your own
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa amejifunza dini yake angeona kawaida mumewe kuwa na mke wa pili.Ata hao waislam anapojaribu kuongeza mwingne yule mke anakua hana aman kabisa ona yaliotokea zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sio kejeli Mkuu.
Hata mama yangu na mama yako wanaingia kwenye kundi hilo la mada yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika ka kifupi sana makusudio yangu.uwasilishaji umekua na ukakasi kidogo ila una hoja nzuri tu,kiufupi ni kuwa starehe kuu ya mwanaume ni mwanamke (wanawake), lakini starehe ya mwanamke sio mwanaume au wanaume. na ni dhahiri moja kati ya kazi muhimu sana ya mwanamke hapa duniani ni kumpa starehe mwanaume.wala hilo halifanyi kumshushia hadhi mwanamke kama wengi wanavyotafsiri kwa kutumia neno chombo cha starehe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unamaanisha mama ako ni chombo cha starehe cha babaako na wadau wengine wote waliowahi kumgegeda?Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.
Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.
Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.
Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.
Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?
Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.
Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Mwanamke ni chombo cha kutustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.Kwaiyo unamaanisha mama ako ni chombo cha starehe cha babaako na wadau wengine wote waliowahi kumgegeda?
Mungu alipomuumba adam alimpa kama chombo cha kumtia dhiki na matatizo ?Ina maana Mungu alipomuumba Adam , alimpa Eva kama chombo cha kumfurahisha ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nakuuliza kwa mujibu wa nani ukisema chombo cha starehe ati ni udhalilishaji ?Chombo Cha Starehe ni udhalilishaji! Mtu kuwa Chombo ni udhalilishaji?
Sent using Jamii Forums mobile app