Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Kasema wanawake, unafikri yeye hajui kama mama yake ni mwanamke.
Msipende weakness za Hovyo.
Wanawake wote ni chombo cha starehe,
Mama yako ni chombo cha starehe cha baba yako, Dada yako ni chombo cha starehe kwa njemba zingine.
Tunapokezana vijiti.

"WANAWAKE NI CHOMBO KIKUU CHA STAREHE"
Wewe umeelewa.

Atarehe yetu kubwa hapa duniani ni wanawake,hakuna starehe tamu zaidi ya hiyo.

Na ndio maana hiyo starehe ikawa ndo njia ya kupata watoto,laiti watoto wangekuwa wanapatikana kwa kulima na kufanya mazoezi basi leo dunia pengine isingekuwa na mtu kwa sababu mambo hayo sio starehe ni tabu tupu,na binadamu hawapendi tabu kwa hyo watoto wangepungua sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umegeneralize, mwanamke ni Chombo Cha Starehe! Wew ni Chombo Cha nn? Au hoja yako ililenga nn? Kwamba mwanamke ni Nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hili swali kwanza.

Kwanza nikuulize ya kuwa kwa mujibu wa nani ati ukisema mwanamke ni chombo cha starehe ati maana yake umemshusha thamani na kumdhalilisha ?

Kwani nikisema baba ndio mhudumu wa watoto utasema kuwa nimedai kazi ya baba ni moja tu ati kwa kuwa sijataja kazi zingine za baba ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chombo Cha Starehe ni udhalilishaji! Mtu kuwa Chombo ni udhalilishaji?
Jibu hili swali kwanza.

Kwanza nikuulize ya kuwa kwa mujibu wa nani ati ukisema mwanamke ni chombo cha starehe ati maana yake umemshusha thamani na kumdhalilisha ?

Kwani nikisema baba ndio mhudumu wa watoto utasema kuwa nimedai kazi ya baba ni moja tu ati kwa kuwa sijataja kazi zingine za baba ?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah! Hilo la kustarehe wew ndo unakuwa nalo kichwani! She is in business, you're for excitement! It's not her business to know whether you're excited or not!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana nimekuambia kuwa mwanamke ni chombo cha starehe kwa maana ya sisi wanaume tunafahamu fika ya kuwa wao ndio starehe yetu.

Kahaba pale hastarehe hata kidogo yeyr anataka pesa,ila mwanaume anaponunua kahaba anaenda kutafuta starehe ili apige goli aende zake.


Hapo utagundua kuwa mwanamke anauwezo wa kukustarehesha wewe kupitia uke wake wakati huo huo yeye hapati starehe yeyote ile.
Hapo ndo mana nasema wanaume starehe yetu kubwa ni wanawake kuliko wanawake walivyokuwa starehe yao kubwa ni sisi.

Sisi tunawahitaji zaidi wao ili tustarehe kuliko wao wanavyotuhitajia sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway, ni maoni yako! Kila la kheri
Ndo mana nimekuambia kuwa mwanamke ni chombo cha starehe kwa maana ya sisi wanaume tunafahamu fika ya kuwa wao ndio starehe yetu.

Kahaba pale hastarehe hata kidogo yeyr anataka pesa,ila mwanaume anaponunua kahaba anaenda kutafuta starehe ili apige goli aende zake.


Hapo utagundua kuwa mwanamke anauwezo wa kukustarehesha wewe kupitia uke wake wakati huo huo yeye hapati starehe yeyote ile.
Hapo ndo mana nasema wanaume starehe yetu kubwa ni wanawake kuliko wanawake walivyokuwa starehe yao kubwa ni sisi.

Sisi tunawahitaji zaidi wao ili tustarehe kuliko wao wanavyotuhitajia sisi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.

Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.

Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.

Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.

Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?

Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.

Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mwanamke ni chombo cha kutustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali jepesi kwako.

Mama yako alistarehesha mtu hadi ukazaliwa wewe?
 
Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.

Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.

Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.

Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.

Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?

Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.

Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mwanamke ni chombo cha kutustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatoka usukumani?
 
Nafahamu kutatokwa povu kubwa sana na wwtu lakini ukweli huu acha tuubainishe.

Manamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya yetu ili tustarehe nao.mwanamke hakuumbwa ili aje atupe shida na dhiki bali atupe raha na furaha.

Ndio maana leo kuna makahaba wale lengo lao sio kuwapa dhiki wanaume bali kuwapa raha na starehe wanaume.

Ndio maana kuna mahari yanatoka ambayo hata mama wa mwanamke haruhusiwi kuichukua kwa nguvu kwa sababu yeye alishakula mahari yake kwa mumewee.

Ndio maana dini inayoelewa hii ikatoa ofa uwe na wawili watatu mpaka wanne.
Sasa tokea lini kitu cha starehe tuwekewe limit kwamba uwe nacho kimoja tu?

Mfano gari na watoto ni vitu vinatupa starehe na furaha kwetu kwa hiyo kama ambavyo unaruhusiwa kuwa na watoto na magari mengi basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na wake wengi.

Kama ambavyo unaruhusiwa kula machungwa zaidi ya moja kwa sababu linakupa raha basi pia ndo kuna ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mwanamke ni chombo cha kutustarehesha na kutupa raha na wala sio chombo cha kutuudhi na kutupa dhiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uonaonesha huujuwi Uislam. Ni wapi hapo ulipoambiwa katika Uislam kuwa "mwanamke ni chombo cha kukustarehesha"?

Halafu unaweka mifano ya "makahaba" na ufuska kuuelezea Uislam?! Umepotoka kabisa kijana kuliko hata ule upuuzi wako wa "adhabu ya kaburi".

Qur'an ndiyo kitabu pekee chenye kauli ya ..."basi oeni mmoja tu”...

Sijui punguani kama wewe kuwa unalielewa hilo. Rejea Qur'an 4:3
 
Back
Top Bottom