Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Kuna mambo ambayo nimeweza kuyaona hapa kwa haraka kutoka kwako mtoa mada

1.Hupendi challenge
2. Kujiamini kidogo tatizo
3. Ubinafsi wa knowledge, uli uweze kua juu siku zote

Ila kwa wanawake na nyie mjifahamu sasa, ukifanya JF na facebook ndio drip yako ya uhai.... Haitachelewa kua mme wako pia.
 
Bora mmu iwe mume,manake imeweza kua awake mida hii na kunifarij....mwanaume anaweza kujitolea kua awake mpaka saa hiz!?...
 
You have a point dude...wanawake wengi hasa wa mitandaoni na tamthilia..ni majanga wanashindwa kutofautisha maisha ya tamthilia na maisha halisi....vile vile wanaongea kimtandao mtandao..
 

Jiamini kijana.. so unataka tuishi kama miaka ya 1947???
 

Nimependa observation 1-3
 
Ndiyo mkuu uko sawa kabisa,lakini kumbe from the point of yours mi naona hii mitandao yetu ya kijamii ya sasa haina manufaa kwa pande zote mbili yaani me na ke,kwani hizo topic za kufumaniwa ,kuliwa tigo na usaliti zinamfaidishaje me au zinamfundisaha nini kitakachomsaidia kwenye ndoa yake na kuijenga familia yake?

Kwa hiyo kwa ufupi hii mitandao yetu ya kijamii ya sasa sijui flicker,facebook,twitter na friendster(angalau jf japo wapo walio wachache wanaotaka kuuchafua mtandao wetu pendwa,tunaomba hilo lipitilie mabali nasi)haifai kwani hakuna la maana humo zaidi ya ujinga kwa hiyo hata mwanaume asipoituimia kwa umakini na busara ye pia haimfaidishi zaidi ya kumjaza ujinga kichwani.kwa hiyo hapa ninachoona mimi na mume na mke wanaweza kujiuliza yafuatayo kuhusu mitandao ya kijamii:
1.Je tutumie mitandao ya kijamii?ikiwa hapana sawa,ikiwa ndio jiulizeni

2.Tutatumia mitandao ya kijamii kwa makusudi gani?jst chating au kuna mambo ya maana yanayopatikana humo?

3.Kama tumeamua kutumia mitandao ya kijamii tutatumia muda kisai gani?wakati gani?

4.Ikiwa tumeamua kutumia mitandao ya kijamii tutaiitumia tukiwa pamoja au kila mtu kivyake?

Kujiuliza mambo kama hayo kunaweza kusaidia mume na mke kuitumia mitandao hii ya kijamii kwa manufaa na kwa akili,vinginevyo ni majanga tu ambayo yanaweza hata kuleta mgogoro mkubwa ndani ya nyumba kwa kuwa mraibu wa hii mitandao.

Am off mkuu na natumaini nimeeleweka kwa kiasi fualni.


 
.....Mimi naamini wanachocmment huku ndo maisha halisi yalivyo.....kama watu wanajitambua na watu wazima....huoni zikipostiwa thread mtu Fulani akicoment tofauti tu na wote wanamuiga.....labda watu wabadilike.....
 
too much is harmful. sio kwa wanawake tu hata wanaume. ukiwa na mume anashinda mitandao nayo inakera. mambo mengine ni makubaliano kati ya watu wawili.
...yah haitakiwi hata kwa mwanaume......ivi mwanaume anaweza kupost picha instagram au facebook amekaa uchi au nusu uchi...?
 
.....Mimi naamini wanachocmment huku ndo maisha halisi yalivyo.....kama watu wanajitambua na watu wazima....huoni zikipostiwa thread mtu Fulani akicoment tofauti tu na wote wanamuiga.....labda watu wabadilike.....
Aisee maybe you should start reading my comments!!I recommend..Cause i say what i want to say not coz anybody said it even if it separates my opinion from everybody else..But i stand by what i mean and say!!
 
...yah haitakiwi hata kwa mwanaume......ivi mwanaume anaweza kupost picha instagram au facebook amekaa uchi au nusu uchi...?

Lakini wanaume tunafundishana namna ya kucheat responsibly!!! Tunaelezana na kuweka wazi mambo machafu tunayofanya in the absence ya wake zetu!! Tusiwe bias tunapo comment!
Kuna uzi mmoja jamaa ka comment HAKUNA MWANAUME WA MWANAMKE MMOJA!!!
Una expect nini mkeo au girlfriend wako akifahamu hivyo??? Unadhani true love itakuwepo endapo mkeo atajua hili?
 
Kupitia hizi social nwork utajua kumbe NDOA(Nature) iko replaced na MONEY(man-mAde).R/MALI PAPUCHI NI SULUHISHO KIUCHUMI
 

kama mtu ataweza kuimmitate kwa kuona, kusikia na kusoma atashindwaje kwa kufundishwa wakati njia ulizotaja ndio zinazotumika katika hizo semina?
halafu usinishangaze.....ke ndo wanakuwa jirani na watoto!!?? kwa nini? wanaume sio wazazi wa hao watoto ama?
 
Aisee maybe you should start reading my comments!!I recommend..Cause i say what i want to say not coz anybody said it even if it separates my opinion from everybody else..But i stand by what i mean and say!!
...Fanya uchunguzi utagundua tu...lakini sishangai ndo vijana wengi wa kitanzania tulivyo...
 
Boys boys boys!
Wala tusiende mbali. Angalia posts zangu ni ngapi na ngapi zinaelezea maisha yangu. Tatizo sio mtandao, tatizo ni huyo unaemuongelea. Mbona kuna wakaka tunakaa nao vijiweni na ndoa zao ndo main topic kila tukikutana? Akili ni nywele bwana. Mwanaume anaejiamini anajua jinsi ya kudeal na kuongea na mwanamke wake bwanaa. Hii mitazamo yenu haina tofauti na kumzuia mke kufanya kazi ili asitongozwe. Anaweza akawa mama wa nyumbaninna akatongozwa na muuza duka, muuza nyanya ama muuza samaki na bucha!
Najimin sana sema weng wenu lazma mzungumzie ushabiki co uhalisia nachoamini self actualization kama inaenda poa mengne ziada


^^
Ashinde online! Alale online! Atafute relations online! Alete principles za online ktk ndoa!..
Mwanaume akilalamika useme hajiamini?
^^
 
nimeshakujua afu wewe we haya tu
 
......kujiamini ni kuto kua makini na principle na mke au girlfriend wako...!!?? labda sijuii maana ya kujiamini....relation ship bila strict principals ni kero na fujo...with very low stability
 
if you love something, let it go.
if it comes back to you, it is yours for keeps.
if it doesnt, it was never meant to be.
......kujiamini ni kuto kua makini na principle na mke au girlfriend wako...!!?? labda sijuii maana ya kujiamini....relation ship bila strict principals ni kero na fujo...with very low stability
 
Kupitia mitandao hii watu wanaoana, wanazaa watoto'
leo ww wataka kunambia nini wakati me kipenzi changu nimekipata humu humu JF
 

^^
JF women are always brave
^^
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…