Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Ha ha ha ME LIKE THIS!!
 
acha kuwadharau wanawake wewe
tusingekuwa sisi usingeona hii dunia
kwanini unawaranda wanawake hivyo?

kwani hii mitandao walisema kuwa
watumiaji wakubwa ni WANAUME
mbona nyie ni wadhaifu wakubwa tena sana
kwanini huseme kuwa wanawake wanapeleka
mambo ya bedroom mtandaoni? umetudissapoint kweli


Pia its not fair me na ke wote mpo mitandaoni kila mtu kuandka kilichomtokea cku hyo ofisin, chumban, nk inapoteza umakini wa kushughulikia matatizo yanayowahusu na hasa ke kuona mtandao ndo suluhisho la tatizo alilonalo
 
mwenzangu hebu niulize. hivi mwanamke kutumia mitandao ya kijamii si sawa ila mwanaume ni sawa? huyu mtoa mada anafikiri kwa kutumia nini? mbona kutwa wanaume wamo humu ndani kutaka ushauri kuhusu ndoa zao au haki ni yao tu.
 
Unaonekana tu...

Maana ikifika wakati wa majamboz utakuwa unamuomba hubby wako msome kwanza mambo ya Jukwaa la Wakubwa...

Halafu ukifika wakati wa kutengeneza madikodiko, mahanjumati, mavyapativyapati hapo JF Chef lazima ihuuu...

n.k

uliyoyasema they only happens in Imaginations.........

halafu what if mume mwenyewe ndio awe online muda wote.....
 

Hapo sasa ndipo unapotakiwa utofautishe kati ya msichana na mwanamke/mvulana na mwanaume. Ukioa msichana lazima hayo yatakuwepo sana. Ila bado tunarudi pale pale kwamba hiyo ni tabia ya mtu. Asipoweza kuweka picha online atampigia simu shogaye ampashe habari au atakaa barazani na jirani amweleze yote ya ndani.
 
Pia its not fair me na ke wote mpo mitandaoni kila mtu kuandka kilichomtokea cku hyo ofisin, chumban, nk inapoteza umakini wa kushughulikia matatizo yanayowahusu na hasa ke kuona mtandao ndo suluhisho la tatizo alilonalo
..Ni kweli kabisa mkuu....ni tabia ambayo inakuwa kila siku... na wakati mwingine unaona wanafundishana mabo ya ajabu kabisa humu....mapenzi na pesa nk
 

we CALMAN hebu usituchoshe hapa. kama wewe unataka mwanamke mbumbumbu wapo wengi watafute utawapata
 
Last edited by a moderator:
yaani shostito huyu mtoa uzi amenikatisha tamaa yaani yeye
anafikiri kuwa mitandao iliwekwa kwa ajili yao wanaume tu na
sio siye na vilevile ana mtazamo potofu juu ya wanawake
anafiikiri kila mwanamke aliyemtandaoni ni mchafu.
Mungu amsaidie sana
mwenzangu hebu niulize. hivi mwanamke kutumia mitandao ya kijamii si sawa ila mwanaume ni sawa? huyu mtoa mada anafikiri kwa kutumia nini? mbona kutwa wanaume wamo humu ndani kutaka ushauri kuhusu ndoa zao au haki ni yao tu.
 

Idum siku zote.....jana leo na kesho Amin

kwani kila alieko online anatumia for negativity!!!!wanaogopa challenge za maisha tu

kuna watu hum wameolewa na ndoa zao vizuri saana...na JF wako kama kawa
 
..Ni kweli kabisa mkuu....ni tabia ambayo inakuwa kila siku... na wakati mwingine unaona wanafundishana mabo ya ajabu kabisa humu....mapenzi na pesa nk
Mtu anayejua anachokitaka na mwerevu hakai akafundishwa tabia mbaya huyo atakuwa zumburukuku...Mimi nina high principles zangu kama wenginevyo walivyo na zao na sikai nikashawishika kwamba mapenzi bila pesa hayaendi wakati najua yanaenda la muhimu ni mapenzi ya dhati na ushirikiano kutoka pande zote mbili!!!SIMPLE AND CLEAR!!Walokuwepo humu asilimia kubwa ni watu walopevuka kiakili na wanajua wanachokifanya!!Hii ni karne ya 21 mkuu!!
 
mwenzangu hebu niulize. hivi mwanamke kutumia mitandao ya kijamii si sawa ila mwanaume ni sawa? huyu mtoa mada anafikiri kwa kutumia nini? mbona kutwa wanaume wamo humu ndani kutaka ushauri kuhusu ndoa zao au haki ni yao tu.

Shost ndo ushangae... Ni bora nishinde humu kuliko kwenda kuuza sura Bar, Salon n.k sehemu ambazo kuna umbeya uliokithiri!!!
 


mmmh majibu haya mitandao ya kijamii inapunguza watu kuwa kiguu na njia na umbeya kweli ndoa cku hz hazidumu ndo yaleyale kwanini umeoa/olewa kwa sababu nimeona umri unaenda majibu mepesi kweny maswali magumu
 
Last edited by a moderator:
Idum siku zote.....jana leo na kesho Amin

kwani kila alieko online anatumia for negativity!!!!wanaogopa challenge za maisha tu

kuna watu hum wameolewa na ndoa zao vizuri saana...na JF wako kama kawa

Umetusahau na wengine tunawake....tumetulia vizuri tu.
 
Shost ndo ushangae... Ni bora nishinde humu kuliko kwenda kuuza sura Bar, Salon n.k sehemu ambazo kuna umbeya uliokithiri!!!


Hiv kumbe mkiondolewa tu kweny mitandao mbadala wake kwenda kuuza sura bar hakuna mahala pengne kwanin usiseme kanisani au msikitini
 
too much is harmful. sio kwa wanawake tu hata wanaume. ukiwa na mume anashinda mitandao nayo inakera. mambo mengine ni makubaliano kati ya watu wawili.
 
hakuna uhusiano kati ya kushindwana kwako na wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii au wale wasiotumia.

Ni sawasawa na kusema hautawezana na mwanamke anayemiliki gari au nyumba. Unatatizo lako la kisaikolojia si mitandao ya kijamii.
 

Na hii sasa kaisoma...ha ha ha ha ha,lazima avimbe bichwa kua kakuweza hapa
 


Bosi kupevuka tu hakuna, suala ni busara na hekima mbona wengi wamepevuka wanafanya mambo ya ajabu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…