neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,860
- 2,149
Hi wana JF,
Mimi mke wangu huanza kumuandaa kwanza kwa kucheza na nywele, chuchu masikio na ki..mbe na mara anapokua tayari kabisa naingia kwenye K yake huku nikiwa nimeweka concentration kubwa amini kabisa round moja mke wangu hupata orgasm au hufika kileleni mara tatu na zaidi.Katika kuhakikisha mke anafika kileleni ipasavyo wala haihitaji kupiga round nyingi, round moja tu inatosha kabisa kumfikisha mke kileleni zaidi ya mara tatu.Wadau toeni michango yenu kuhakikisha tunapunguza tatizo la wanawake kutofikishwa kileleni (Orgasm) hata wadada toeni michango yenu hasa kutuongoza katika sehemu muhimu ambazo zinahitaji kuguswa ili uwe tayari kwa tendo husika na hatimaye ufike kileleni na kufurahia ndoa yako.
koh koh!!
Sasa MUYOOL kama wewe huwa unafanikiwa kwa kiasi hicho hapo kwa red.. Hopefully unaweza kutoa somo madhubuti hapa ukawasaidia kinamama na babas.