Mwanamke na kufika kileleni

Mwanamke na kufika kileleni

Hi wana JF,

Mimi mke wangu huanza kumuandaa kwanza kwa kucheza na nywele, chuchu masikio na ki..mbe na mara anapokua tayari kabisa naingia kwenye K yake huku nikiwa nimeweka concentration kubwa amini kabisa round moja mke wangu hupata orgasm au hufika kileleni mara tatu na zaidi.Katika kuhakikisha mke anafika kileleni ipasavyo wala haihitaji kupiga round nyingi, round moja tu inatosha kabisa kumfikisha mke kileleni zaidi ya mara tatu.Wadau toeni michango yenu kuhakikisha tunapunguza tatizo la wanawake kutofikishwa kileleni (Orgasm) hata wadada toeni michango yenu hasa kutuongoza katika sehemu muhimu ambazo zinahitaji kuguswa ili uwe tayari kwa tendo husika na hatimaye ufike kileleni na kufurahia ndoa yako.

Mada nzuri sana,wadada tupeni somo kidogo tuwashike maeneo gani ili mfike mount kilimanjaro!!
 
Mimi nilifikiri mshikaji humfikisho mke wako kumbe unataka kushare mautundu tuuuuu.

Basi ngoja nimwage radhi Mzee wa Rula atanijua nani tehe tehe.

Kama mkeo ni msafi na huna mashaka yae juu ya usafi wake basi unamtunuku kabisa kwa kuanza kunyonya k kama dakika kumi kisha unafuatia ule mchezo wa wahaya katelelo.

Ukimaliza hapo unapiga mapigo ya nusu inchi ndani halafu kichwa nje kama hutaki tehe tehe tehe.

Ukifanya hivyo kama mara tatu au nne unapeleka moto moja kwa moja mpaka uipate g spot kama hujasikia lukunga njoo uniambie.

Hapo kama ni gari umepiga gia ya kuondokea kisha unatakiwa ubadili gia baada ya muda hadi unafika uendekao tehe tehe.
 
Last edited by a moderator:
mhm hiyo ya kweli...round moja tuu ya nini kuchoshana kama vile tupo kwenye game la soccer bwana lol.
 
Mimi nilifikiri mshikaji humfikisho mke wako kumbe unataka kushare mautundu tuuuuu.

Basi ngoja nimwage radhi Mzee wa Rula atanijua nani tehe tehe.

Kama mkeo ni msafi na huna mashaka yae juu ya usafi wake basi unamtunuku kabisa kwa kuanza kunyonya k kama dakika kumi kisha unafuatia ule mchezo wa wahaya katelelo.

Ukimaliza hapo unapiga mapigo ya nusu inchi ndani halafu kichwa nje kama hutaki tehe tehe tehe.

Ukifanya hivyo kama mara tatu au nne unapeleka moto moja kwa moja mpaka uipate g spot kama hujasikia lukunga njoo uniambie.

Hapo kama ni gari umepiga gia ya kuondokea kisha unatakiwa ubadili gia baada ya muda hadi unafika uendekao tehe tehe.

katelelo inakuaje?
 
Last edited by a moderator:
aiseeeeee babaangu nimesoma hizi uzi zote mtalimbo wangu umesimama kama network ya tigo babaangu
 
Though my identity is unkown but I dont think it is ethical to tell you guys how I sleep with my wife. Kwa lugha ya mtaani wanasema "usimsifie mkeo kijiweni"!! oho hooo!
 
Hili tatizo la wanawake kutofikishwa kileleni linakaribia kuwa janga la taifa,,malalamiko yanazidi kuwa mengi kila siku!!

Wanaume wengi wanakariri maufundi ya kwenye sita kwa sita either kwa kuambiwa na washkaji zao au kutoka kwa mwanamke mmoja kwenda kwa mwingine bila kujua wanawake wanatofautiana katika areas of stimulation,
Utundu unatakiwa katika sita kwa sita ili kumridhisha mwenzi wako,,utafanikiwa kujua mwenzio anachoitaji ukiwa mtulivu na madadisi wakati wa romance na hakika utamfikisha hata katika kilele cha mlima Everest ila usikariri inatakiwa uwe mbunifu
 
Naongeza hii unapokuwa umeingiza me kwenye ke ili kumkonga zaidi ke wako pachika kidole gumba cha mkono mtoni kwake tafadhari usikishindirie ila fanya kama unaziba then utani text utovyomuano akibadilika na kutweta kwa maraha atayokuwa akihisi.
 
Mimi nilifikiri mshikaji humfikisho mke wako kumbe unataka kushare mautundu tuuuuu.

Basi ngoja nimwage radhi Mzee wa Rula atanijua nani tehe tehe.

Kama mkeo ni msafi na huna mashaka yae juu ya usafi wake basi unamtunuku kabisa kwa kuanza kunyonya k kama dakika kumi kisha unafuatia ule mchezo wa wahaya katelelo.

Ukimaliza hapo unapiga mapigo ya nusu inchi ndani halafu kichwa nje kama hutaki tehe tehe tehe.

Ukifanya hivyo kama mara tatu au nne unapeleka moto moja kwa moja mpaka uipate g spot kama hujasikia lukunga njoo uniambie.

Hapo kama ni gari umepiga gia ya kuondokea kisha unatakiwa ubadili gia baada ya muda hadi unafika uendekao tehe tehe.
Jaman hahahah katerelo
 
Last edited by a moderator:
Hi wana JF,

Mimi mke wangu huanza kumuandaa kwanza kwa kucheza na nywele, chuchu masikio na ki..mbe na mara anapokua tayari kabisa naingia kwenye K yake huku nikiwa nimeweka concentration kubwa amini kabisa round moja mke wangu hupata orgasm au hufika kileleni mara tatu na zaidi.Katika kuhakikisha mke anafika kileleni ipasavyo wala haihitaji kupiga round nyingi, round moja tu inatosha kabisa kumfikisha mke kileleni zaidi ya mara tatu.Wadau toeni michango yenu kuhakikisha tunapunguza tatizo la wanawake kutofikishwa kileleni (Orgasm) hata wadada toeni michango yenu hasa kutuongoza katika sehemu muhimu ambazo zinahitaji kuguswa ili uwe tayari kwa tendo husika na hatimaye ufike kileleni na kufurahia ndoa yako.

Ukikua utaacha
 
Back
Top Bottom