Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
oragsm ni ku**** hadi unaita jina la mzazi wako
Wewe mbona umejisahau hivyo?
Mod hebu kafute hako kaujumbe maana kanachafua mazingira kabisa!
Last edited by a moderator:
oragsm ni ku**** hadi unaita jina la mzazi wako
Kutokana na sababu za kifamilia, siwezi kuzungumzia suala hili hapa. Najua utaniona wa zamani lakini naomba unisamehe.
Kufika kileleni siyo lazima upite njia za Katerero (sijui huyu ndiye mnyama gani tena!)
Nimeamini wewe ni mama wa kweli na si mapepe! Kama vipi mwenye kuuliza atume private msg kuomba uzoefu. Huwezi kuanika mambo muhimu ya maisha yako humu jamvini. Vinginevyo unaweza kuzua balaa na mzazi mwenzio!
Achana na huyo sie tu watu wazima. Tatizo kubwa nina wanangu hapa. Sitegemei kudiscuss hii kitu na Steve au wanangu wengine hata siku moja, ndio kubwa hili.
Nashauri hawa wanao uliowataja tuwaombee kwa Mod. awawekee "chumba cha kungwi" kama vile sisi wazazi tulivyoomba "chumba cha wazazi" ili waliuze maswali yao. Hata hivyo wasiwe na tabia ya kuchimba mambo personal, waridhike na majibu ya jumla wanayopata.
Katerero ni muhimu mkuu. Labda jamaa wa Lorain huwa anaikwepa hii njia ndio maana hajawahi kufika kileleni.
Huu mjadala hauendi kwenyewe.....
Mods please do the needful.
hapana nataka wayajue haya mambo, ila sitaki kudiscuss nao personally.
Naomba mtu ani PM maana halisi ya katerero na akanungulusi hizi jamani zinanichanganya sana nimetafuta kwenye kamusi holaaaaaaaa msaada jamani.
Kweli kabisa Roya, ndiyo maana nami niliuliza kama aliyeuliza swali ana access na ule ukumbi wa mashetani-shetani...alio achiwa Kibunango auongoze na Brazameni. maana kadiri watu watakavyozidi kudiscuss hili jambo ndipo hapo watakuwa wana cross the line na pahala wanaweza kujikuta wako kwenye mifarakano na ma mods.
Fidel,
Msaidie mwenzio kwanza then katika kusaidiana utajua kama ameolewa au la!
Katerero ni sehemu mojawapo ya mauzo, yaani gulio/gulilo au soko mjinga, au market square, au car boot sale, huko Bukoba. Ref. Kitabu cha Kiswahili darasa la tatu.
... kadiri watu watakavyozidi kudiscuss hili jambo ndipo hapo watakuwa wana cross the line na pahala wanaweza kujikuta wako kwenye mifarakano na ma mods.
Mahusiano, mapenzi, urafiki (60 Viewing)
Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
Naomba mtu ani PM maana halisi ya katerero na akanungulusi hizi jamani zinanichanganya sana nimetafuta kwenye kamusi holaaaaaaaa msaada jamani.
Mkuu hapo bado sijakupata fresh naomba ufafanuzi zaidi kupiga mswaki kikubwa au kawaida tu?...katerero maana yake kupiga mswaki!
Mkuu hapo bado sijakupata fresh naomba ufafanuzi zaidi kupiga mswaki kikubwa au kawaida tu?
Kweli kabisa Roya, ndiyo maana nami niliuliza kama aliyeuliza swali ana access na ule ukumbi wa mashetani-shetani...alio achiwa Kibunango auongoze na Brazameni. maana kadiri watu watakavyozidi kudiscuss hili jambo ndipo hapo watakuwa wana cross the line na pahala wanaweza kujikuta wako kwenye mifarakano na ma mods.