Rah_sputin
Member
- Nov 3, 2009
- 83
- 11
Nini madhara ya kutomfikisha mwanamke?
Nini madhara ya kutomfikisha mwanamke?
kuletewa ukimwi ndani,atatoka nje akakunwe kisiri siri...lol
Nini madhara ya kutomfikisha mwanamke?
Kupigiwa na watalaam nje ya ndoa.
Kuna aina zaidi ya moja za vilele vya mwanamke. Sasa tunazungumzia kilele kipi, cha? cha? au cha?
kuletewa ukimwi ndani,atatoka nje akakunwe kisiri siri...lol
Nijuze, pia jinsi mwanaume anavyoweza kufikishwa kileleni na mwanamke!
hii ni kwa sababu kutoa mbegu za kiume (release) haimaanishi kuwa
mwanaume amefika! hawa wanaume ambao wanarelease bila miili na mioyo
yao kutosheka wao wanasaidiwaje na wake/wapenzi wao ambao wanakuwa
wagumu wakisubiri kuandaliwa??
kuletewa ukimwi ndani,atatoka nje akakunwe kisiri siri...lol
hizi story za mwanamke kuandaliwa, kufikishwa, kuwezeshwa etc zinaonyesha kama vile yeye anatakiwa kusubiri tu bila kuwa na initiative yeyote...
Kuna aina zaidi ya moja za vilele vya mwanamke. Sasa tunazungumzia kilele kipi, cha? cha? au cha?