RaiaMbishi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 252
- 132
Pengine haujaelewa nilikuwa na maana gani, na hili ni moja ya matatizo yanayotuangusha wengi wetu. Mimi mwenyewe sikujua kwamba wanawake wana aina nyingi za kufika kileleni. Maana yangu hapa ni kwamba maji ya Dawasco yanatoka kwenye bomba la jikoni, bomba la nje, na pia kwenye koki iliyopo kwenye simtank. Mwenzangu maji ya dawasco yanatiririka kutoka jikoni tu?Vielezee vyote ili tukueleze tunachochangia,usije ukafikiri kumnunulia dem wako mahitaji yote,ndio kumfikisha kileleni?