Mwanamke na kufika kileleni

Mi nadhani 70% ya wanawake huwa hatufiki kileleni as men do! Personally, sometimes nafika sometimes i dont! And when that happens i take it easy... Najua inatokea tu, smtyms uchovu na mood vinachangia!
Yaani 70%? Siamini, anyway ndio maisha , kwangu mi sijawahi kusikia wala kuhisi kuna mtu kapunjika kwenye ...
 
Taabu ya wanawake wengi ni kutokuwa wakweli!kama hujafika inatakiwa umwambie mpenzi wako kuwa mm sijafika!ili atafute ma ujanja ya kukufikisha!kama aliposema mtu mmoja hapo juu ya kuwa kuwa akina mama wengi inakua vigumu sana kufika!pia linalochangia sana ni kutokua na romance kabla ya shughuli yenyewe!

Ukiwa kama mwanaume unatakiwa ujue ya kuwa mpenzi wako akifika inakuwaje!wengine wanahema kwa kasi sana!wengine wanatoka jasho sana!wengine hawataki kuendelea na mchezo hata kama wewe mwanaume haujafika!la muhimu ni kuweza kugundua hilo!

Ndio maana unakuta siku hz kijana wa kukata majani anatoka na mama mwenye nyumba!
 
Mi nadhani 70% ya wanawake huwa hatufiki kileleni as men do! Personally, sometimes nafika sometimes i dont! And when that happens i take it easy... Najua inatokea tu, smtyms uchovu na mood vinachangia!
very bad, you should have to satisfy other ways you will never enjoy life. But if necessary you can tell your love the really that he has left you with unsatisfactory condition, therefore he really loves you he can make some simple creation on how to make feel nice.Otherwise you will spoil your realiotion ship regarding to your quiteness.
 


Hapo penye blue mmh...nimeipenda coz inamfanya m.ume asijisikie vibaya. Naelewa ni kazi kwa mwanamke kufika kileleni sio rahisi sana kivile and not necessary kwa kila tendo as inategemea na mambo mengi. Natamani kujua kwa wale ambao inakuwa ni mara kwa mara yaaani... hata kwa miezi kadha wa kadha hajafikishwa...m.ume anakuwa ktk fikra gani dhidi ya mwenzi wake
 


Ni wanawake wachache saaana wana guts za kuongea kwa uhuru kwa wenza wao
kua wapi yupo sensitive, wapi anaona raha... namna gani awe handled, na ni mda gani
inamchukua kusikia ashiki ya kutaka kufanya hilo tendo lenyewe....

Ni wanaume wachache hupenda kusikia madhaifu toka kwa wanawake wao, au kutaka
kujua kua kweli hamfikishi... aweza hisi kua hukufikishi but ile ukitamka ndio umemmaliza kabisa
basi kuepusha hii anaziba kabisa ubongo wake kutaka jiuliza kweli kama anatenda haki...

Na hilo tatizo likiendelea miezi kadhaa ni hatari kwa afya ya wapenzi hasa kama ni ndoa...
 
but why most of women are liars? Why are they pretending to satisfy while they are not? Why cant she tell the reality that she is not satisfied so that a man can just make other techniqies. Mh jamani let us be free to express our feelings to our lovers. Itatusaidia.
 
Yaani 70%? Siamini, anyway ndio maisha , kwangu mi sijawahi kusikia wala kuhisi kuna mtu kapunjika kwenye ...
wapo na sababu kubwa ni wao wenyewe kutokuwa wawazi.
 

Mfumo dume upo hadi kwenye ngono.... Kama kuna alie wahi mfikisha bila kuelekezwa
anaona wewe umeshindwa... na kama umeshindwa why bring it up? ambayo sio kweli
maana siku za mwanzo za mahusiano mnakua hamjazoeana hivyo lazima kwanza mjuane
jinsi ya kuridhishana.... However kama mmefanya mara tatu na zooote ni failures, Then their
is no Compactibility hapo...

Na pia we love saaaana - hivo it is in our nature kua kama wewe umeridhika na roho yangu imeridhika...
na wanawake weeengi huwachukua mda mrefu mno kufika kileleni, ivo unakuta anakutana na kaka
zetu wasasa ambao majority ni wavivu mno, akishamaliza yeye hana kabisa nguvu ya kwenda mbele..
 

First Born, sidhani kama wanawake wanapenda kudanganya, ni namna tu ya kuwasitiri wenzi wao coz si wote (w.ume) watapenda au wako tayari kusikia kuwa juhudi na hekaheka zote alizofanya hazikuzaa matunda. Inategemea pia na bond iliyoko kati ya wapenzi... kwa wale walioko friendly yani ni wapenzi then marafiki... ni rahisi zaidi. kuna ambao nafikir wakiambiwa na wapenzi wao ni ugomvi mkali, kama sio kuachika lol
 
Napita tu wakuu natamani niwasikie zaidi kina Afrodenzi MJ1 Rose, Lily,lizy Dena MH! (just to mention few) watupe experience zao.
 
Napita tu wakuu natamani niwasikie zaidi kina Afrodenzi MJ1 Rose, Lily,lizy Dena MH! (just to mention few) watupe experience zao.

Pita tu mkuu... ukifika basi uendako usisahau kuleta na wewe maujuzi yako kuhusiana na hili
 
ktk hili kuna vitu vya kuangalia 1,mawasilano upendo;wanawake wanahitaji mwsiliano upendo mazuri na ya mapema zaidi kwani wao wako kihisia zaidi...hata kuna mchangiaji mmoja aliwahi kuuliza habari ya kumtongoza mke-hili kunaka ukweli ndani yake..hebu jaribu kuwa na mawasiliano upendo kutwa nzima afu jioni uone matokeo yake=utakuta mwenzio tayari kesha lowa kabla ya mamboz-wababa tujifunze kuwaandaaa wake zetu hili linawezekana kwa mwanamke anejua wajibu wake
 
Unajua tatizo ni wadada wenyewe coz unakuta dem ukimpa demo kwa dakika 45 anataka chezo ukimpa chezo lakwanza atajifanya kakolea ukimpa lapili atajifanya kanogewa na anaitaka kwakasi zote zikipita dakik 20 hujamaliza anakwambia unamkomoa. wengine hawajielewi na wanaume wengne huwa 2kofiti raund hata 4 twaweza zakiutu zima. sio za kitoto. kwahiyo tatizo sio sisi wavivu nyie pia wanawake ndio msiseme wavivu mpaka basi hamjiamini jirekebishen 2takuwa twawafikisha kila mech. ila msifanye kama chakula
 


Thanks love for sharing your experience, of course our experience.....
 
mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanaume....na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke
 
Dada ukileta mambo ya mfumo dume hadi 6x6 unatuonea bureee..sasa mambo yamekuwa bayana mno,wanaume tu wasikivu kuliko enzi hizoo...,shida iko kwenye kuandaana na wewe ukiwa mhusika...kumbuka mwanaume husisimka kwa kuona..vilevile huwa na nguvu zaidi kadiri unavyojitoa kwake...Nanyi husisimka kwa hisia...na mambo huwa mazuri mkiandaliwa mapema..
 

Ni kweli kuwa kina dada wengi huwa tunaitumia njia hii lakini mara nyingi si vizuri kuishia hapa. Especially unapoona mwenzi wako amejitahidi mpaka anataka kukata tamaa, njia ekee ni hii ya kufake!! (Kama mpenzio si mwelewa maana mwingine waweza tu kumwambia kuwa Baby we endelea, just come, its ok, huku ukimpa company- nadhani naeleweka). But kwa sababu lengo na madhumuni ya tendo hili ni kufurahia wote ni vema akishaenda akafika, unamweleza (kama ni mwelewa) kuwa wewe bado. LAKINI kama si mwelewa, fanya kama umefika kisha ukishaona amepumzika vya kutosha..........piga hodi tena!! haikatazwi!
 
kweli ww gamba! hivi ule wimbo wenu wa 'nambari wani eeeh, nambari wani ni ccm' bado mnautumia kwa kampeni hadi leo?
mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanaume....na si mwanaume kwa ajili ya mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…