Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.

Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?

Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe lazima awe na funguo tatu yaani funguo ya nyumba, funguo ya ofisi na funguo ya gari.

Unataka mwanaume mrefu, mweusi, mwembamba mwenye six pack na mashine ya 5G.

Unataka mwanaume asiyekunywa Pombe, asiyevuta sigara na asiyependa wanawake, halafu awe mweusi, mrefu na awe na pesa na awe mchamungu.

Hivi unajua hizo sifa unazozitaka ni za wanaume 10 tofauti? Unajua hao ni wanaume 10 tofauti?

Halafu unataka sifa walizogawanyiwa wanaume 10 uzipate ndani ya mwanaume 1.

My dear sikufichi utazeeka ukiwa unatumika mtaani.

Kama unafikiri ni rahisi sana mwanaume kuwa na sifa hizo hebu jijenge uwe na sifa hizo.

Kama wewe mwenyewe hadi umri huo hizi funguo tatu huna, kitu pekee unachomiliki ni simu, chupi na makeup unataka huyo mwanaume azitoe wapi?

Endelea kuchagua huku ukiendelea kutumika na kuchakazwa, kesho utakuja kusema unataka mwanaume yeyote yule ilimradi tu anapumua. Wakati huo hao wote wanaopumua watakuwa nao wameoa wale wanawake waliokuwa wanajitambua.
 
Huwezi kuandika kwa jazba hivi leo hii nikakupita! Sasa mkuu umemtongoza mshangaz wa 3rd floor akakukataa au? Haya basi huyo mfupi mweusi asiye na lolote ilimradi yuko wapi? Ukifika 30s ni lazima uwe mke wa mtu? Hizi mambo zimetokana na nini? Nani kazianzisha kwamba ukifika 30s lazima uwe na mume? Ukifika 30s usiwe na choices, eti chupi na aifon waah🤭
Hebu win-one njoo msikie huyu🫴🏾
 
Huwezi kuandika kwa jazba hivi leo hii nikakupita! Sasa mkuu umemtongoza mshangaz wa 3rd floor akakukataa au? Haya basi huyo mfupi mweusi asiye na lolote ilimradi yuko wapi? Ukifika 30s ni lazima uwe mke wa mtu? Hizi mambo zimetokana na nini? Nani kazianzisha kwamba ukifika 30s lazima uwe na mume? Ukifika 30s usiwe na choices, eti chupi na aifon waah🤭
Hebu win-one njoo msikie huyu🫴🏾
huyu tena anaendeleza habari za mwanamke this mwanamke that,,, nimemmisi da maua alikua anatusemea sisi wadada😥😆😆😆 Unique Flower kwani uliendaga wapi🤣🤣🤣🤣
 
huyu tena anaendeleza habari za mwanamke this mwanamke that,,, nimemmisi da maua alikua anatusemea sisi wadada😥😆😆😆 Unique Flower kwani uliendaga wapi🤣🤣🤣🤣
Aisee hebu muite mtetezi maana wengine hapa dk mbili mbele! Tusijemkosea heshima mtu mzima hapa! Kutwaaaa mahubiri ya wanawake waolewe vipi! Kwani kuna sehemu tunawabana hawa wazee? Hataki kujipigia mishangazz iliyo single eti😆
 
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.

Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?

Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe lazima awe na funguo tatu yaani funguo ya nyumba, funguo ya ofisi na funguo ya gari.

Unataka mwanaume mrefu, mweusi, mwembamba mwenye six pack na mashine ya 5G.

Unataka mwanaume asiyekunywa Pombe, asiyevuta sigara na asiyependa wanawake, halafu awe mweusi, mrefu na awe na pesa na awe mchamungu.

Hivi unajua hizo sifa unazozitaka ni za wanaume 10 tofauti? Unajua hao ni wanaume 10 tofauti?

Halafu unataka sifa walizogawanyiwa wanaume 10 uzipate ndani ya mwanaume 1.

My dear sikufichi utazeeka ukiwa unatumika mtaani.

Kama unafikiri ni rahisi sana mwanaume kuwa na sifa hizo hebu jijenge uwe na sifa hizo.

Kama wewe mwenyewe hadi umri huo hizi funguo tatu huna, kitu pekee unachomiliki ni simu, chupi na makeup unataka huyo mwanaume azitoe wapi?

Endelea kuchagua huku ukiendelea kutumika na kuchakazwa, kesho utakuja kusema unataka mwanaume yeyote yule ilimradi tu anapumua. Wakati huo hao wote wanaopumua watakuwa nao wameoa wale wanawake waliokuwa wanajitambua.
Tulikua Tunasema sana kwa hao who are willing to listen, that if you meet someone unaona anafuture/vision imenyooka, direction, long-term plans potential, na anauwezo wakuleta chochote Mezani, through hard work and commitment, it is better mka team up, to build life together and grow as partners.

Kuliko kuendelea kuchakaza nyuchi mtaani, Bora kwa wanaume sababu maungo Yao hayasomi mileage kama yetu, Sis unaweza kuwa ni Mwanamke wa 25 yrs tu lakini down there Papa lina muonekano wa Fifty Samsingi pathetic .
Sunset is real damsel 🏃 play ur cards accordingly
 
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.

Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?

Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe lazima awe na funguo tatu yaani funguo ya nyumba, funguo ya ofisi na funguo ya gari.

Unataka mwanaume mrefu, mweusi, mwembamba mwenye six pack na mashine ya 5G.

Unataka mwanaume asiyekunywa Pombe, asiyevuta sigara na asiyependa wanawake, halafu awe mweusi, mrefu na awe na pesa na awe mchamungu.

Hivi unajua hizo sifa unazozitaka ni za wanaume 10 tofauti? Unajua hao ni wanaume 10 tofauti?

Halafu unataka sifa walizogawanyiwa wanaume 10 uzipate ndani ya mwanaume 1.

My dear sikufichi utazeeka ukiwa unatumika mtaani.

Kama unafikiri ni rahisi sana mwanaume kuwa na sifa hizo hebu jijenge uwe na sifa hizo.

Kama wewe mwenyewe hadi umri huo hizi funguo tatu huna, kitu pekee unachomiliki ni simu, chupi na makeup unataka huyo mwanaume azitoe wapi?

Endelea kuchagua huku ukiendelea kutumika na kuchakazwa, kesho utakuja kusema unataka mwanaume yeyote yule ilimradi tu anapumua. Wakati huo hao wote wanaopumua watakuwa nao wameoa wale wanawake waliokuwa wanajitambua.
Mwanamke mwenye vigezo hivyo utakuta hata baba yake hana hizo funguo tatu, anamiliki pumbu zake tu.
 
Tulikua Tunasema sana kwa hao who are willing to listen, that if you meet someone unaona anafuture/vision imenyooka, direction, long-term plans potential, na anauwezo wakuleta chochote Mezani, through hard work and commitment, it is better mka team up, to build life together and grow as partners.

Kuliko kuendelea kuchakaza nyuchi mtaani, Bora kwa wanaume sababu maungo Yao hayasomi mileage kama yetu, Sis unaweza kuwa ni Mwanamke wa 25 yrs tu lakini down there Papa lina muonekano wa Fifty Samsingi pathetic .
Sunset is real damsel 🏃 play ur cards accordingly

Duh, uko na good attitude.
 
Back
Top Bottom