Joseph kaswahili
New Member
- Feb 14, 2013
- 2
- 0
Katika maisha yangu natengemea kuja kuoa mwanamke mcha mungu.nitampatanje sasa jamani hebu nisaindieni
if you mean it, anza kutembelea makanisani au misikitini, then tangaza NIA padre/shekhe akusaidie kuchagua, very simple yaan
Aliyekuambia church ndio wapo wacha Mungu ni nani?Hata shetani huwa anaenda kanisani...Ucha Mungu upo moyoni mwa mtu. Joseph kaswahili mwombe Mungu akupe Macho ya rohoni ili uweze kumuona yupo popote hata hapo ofisini kwako au kwenye daladala etcgo to church
Katika maisha yangu natengemea kuja kuoa mwanamke mcha mungu.nitampatanje sasa jamani hebu nisaindieni
mcha mungu au mcha Mungu?
if you mean it, anza kutembelea makanisani au misikitini, then tangaza NIA padre/shekhe akusaidie kuchagua, very simple yaan
Utapata wa kufanana nawe! Acha udhalimu Mungu hayuko hvyo kabisa kama ni muhuni utapata muhuni mwenzako!
ni kweli kabisa maana wengi hawajui ukiandika mungu unakuwa humaanishi Mungu muumba mbingu na nchi,hata Biblia inatofautisha kati ya Mungu na mungu