Mwanamke mcha mungu

Mwanamke mcha mungu

jitahidi kusali sana usiku wa manane kwa nia ya kumtafuta mke/mume mcha Mungu naamini kwamba utafanikiwa.
 
Katika maisha yangu natengemea kuja kuoa mwanamke mcha mungu.nitampatanje sasa jamani hebu nisaindieni
Kuwa makini na wacha Mungu wengi wao ni wale ambao wamekwishapata matatizo makubwa katika maisha haya na wanaishi kwa matumaini ya mwenyezi Mungu.
 
Usitafute mcha Mungu... tafuta mwenye busara,hekima na akili.. unaweza pata mcha Mungu lakini tahiraa...
 
Cha kushangaza unataka mwanamke mcha mungu wakati wewe mwenyewe si mcha mungu! Ungekuwa mcha mungu ungeshamuona huko huko kwenye uchaji mungu.

Si anataka amcompliment aka kumuambukiza ucha Mungu.
Dogo hakuna short cut; sugua magoti yako sakafuni usali. Halafu usiangalie vigezo vya nje focus kwenye ucha Mungu maana unaweza kuwa blinded na vitu vya nje kiasi kwamba ucha Mungu ukauona au ukaamua kuutranslate ili ufit jinsi mrembo alivyo!
 
Si anataka amcompliment aka kumuambukiza ucha Mungu.
Dogo hakuna short cut; sugua magoti yako sakafuni usali. Halafu usiangalie vigezo vya nje focus kwenye ucha Mungu maana unaweza kuwa blinded na vitu vya nje kiasi kwamba ucha Mungu ukauona au ukaamua kuutranslate ili ufit jinsi mrembo alivyo!

kuna jamaa mmoja alimpenda dada mmjoja mcha Mungu, jamaa kweli akafanya kila jinsi ya kumpata yule dada, dada nae akamkomalia jamaa kwamba aokoke ndipo watakua nae, jamaa kweli akaokoka na akawa muhumini wa church..

Jamaa akamwambia dada tayari nimeshaokoka, dada amwambia bado mpaka uwe mtu wa kuomba, kufunga na kusoma Bible ndio nitakubali ombi lako..

Jamaa kweli akawa mtu wa Mungu kwelikweli, jamaa akakumbushia ombi lake tena..
Dada akamwambia jamaa inabidi apeleke Hitaji lake kwa Mungu kwamba unataka Mke Mwema..

Jamaa akarudi kupiga goti kwelkweli, Eehh cha kushangaza Mungu akamuonesha Msichana mwingine paleplae kanisani!! jamaa ikabidi aoe!!

Kufupisha maelezo mpaka leo jamaa na yule dada wanaheshimiana kama mtu na kaka yake..
 
Back
Top Bottom