Mwanamke mbishi

Mwanamke mbishi

Lazy man. Yani anakubania halafu anampa nani?. Nawe umeridhika kabisa eti na hug, mabusu halafu tunalala, halafu unauliza ufanyaje?.
Rudia kusoma budaa, nikirudi nishamaliza hukoo niko mwepesiii 😂😂
 
Unaishi naye kwa makubaliano ya mume na mke, uchumba au mmezoana tu?
Swali zuri sana na kuna mkuu mmoja hapo juu kashauri yakuwa atafute Mama mtu mzima amsemeshe kwanza na mimi naongezea swali mmeshajaaliwa kupata watoto?, na mmefunga ndoa ya kidini au kimila? naamini sana ktk kutafuta suluhu kwa kuwashirikisha watu wazima kuliko kumpiga vibao. Ndio maana wanaume tunakufa kabla ya wanawake.
 
Mambo ya baby nakupenda Sana,baby siwezi ishi bila wewe,Bibi agiza savannah Mimi nakunywa maji Nina dozi.Baby ngoja nikusaidie kuosha vyombo nk.Hovyo Sana.
Ndio hivyo sasa…
Na nyie mnapenda kudanganywa sana.
Mtu akiwa halisia mnampiga kibuti chap.

Mnapenda baby nyanyanyaa baby nyenyenye..

Kuweni na wanawake upstairs wako vizuri hata kama sura inakata viuno
 
Wanajukwaa, naomba mnisaidie hili limekaaje.

Ninaishi na mwanamke ila ni mbishi kupindukia kiasi kwamba hataki kufanya usafi wa nyumba, nikimwelekeza kutimiza majukumu fulani labda kufua nguo zangu, analoweka na kukamua, na kuanika hivyo hivyo mpaka niongee sana ndiyo ananisikiliza.

Sasa nimeona hii inansumbua kitu, nataka nimfukuze ndani. Bora akae chumba cha nje, mimi nikae kivyangu ili hayo majukumu nitekeleze mwenyewe. Hii imekaaje?

Maana sitaki aingie ndani kwangu tena, nataka nimpe chumba cha nje anipishe. Maana nina hasira sana, nikikaa naye karibu naweza kuagiza gunia la mkaa.
Usitumie hasira hazita saidia fikiria vema cha kufanya kumtoa nje ya chumba sio dawa.
 
Tunapitia mengi pole sana

Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.

Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?
Hawa watu huwa hawako sawa na ndo maana hutakiwi mtegemea mmoja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wanajukwaa, naomba mnisaidie hili limekaaje.

Ninaishi na mwanamke ila ni mbishi kupindukia kiasi kwamba hataki kufanya usafi wa nyumba, nikimwelekeza kutimiza majukumu fulani labda kufua nguo zangu, analoweka na kukamua, na kuanika hivyo hivyo mpaka niongee sana ndiyo ananisikiliza.

Sasa nimeona hii inansumbua kitu, nataka nimfukuze ndani. Bora akae chumba cha nje, mimi nikae kivyangu ili hayo majukumu nitekeleze mwenyewe. Hii imekaaje?

Maana sitaki aingie ndani kwangu tena, nataka nimpe chumba cha nje anipishe. Maana nina hasira sana, nikikaa naye karibu naweza kuagiza gunia la mkaa.
Umevamia sasa unalia,pole sana,hakuna mwanamke mwepesi.Tuanzie hapa kwanza ,kilikuvutia nini mpaka ukaamua kuishi naye...?
 
Back
Top Bottom