Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
...Pdidy unachosema kinaukweli sana leo nimesikiliza clouds jinsi anavyowatoa show wabunge kuanzia yule magamba mwenzie wa mbozi hadi John mnyika kwa kweli nilipata hasira sana. Anadhani kwa kukaa kwenye kile kiti pale basi amemaliza kila kitu. Si ndio kuna wakati alifunga mtaa mmoja pale kijitonyama eti anataka kujenga ghorofa yake ya kuishi kwa hiyo anahofia hiyo bara bara itahatarisha usalama wake? Viongozi wa bongo bana!!Inuse kabisa kama mama yake angekuwa amelazwa muhimbili leo hii huyu mama asiingeongea alichoongea leo
nadhani ana matatzo makubwa tuu...nahisi amezoea hali ya misiba ndio maana haoni jipya mnapopiga kelele za watu wanakufa mahospitalini leo bugando wamefunga na kutoa tangazo kama sio ni nini