nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Weee usiombe wakati wa kifo cha mende. Ni afadhali flat screen ila ikiwa na ---- halafu kitambi ni mateso hayana mfanomimi naona mwanamke akiwa flat screen na kitambi ndo anachukiza but kama neema za allah zipo kitambi sio ishu