Mwanamke kuwa na kitambi

Mwanamke kuwa na kitambi

mimi naona mwanamke akiwa flat screen na kitambi ndo anachukiza but kama neema za allah zipo kitambi sio ishu
Weee usiombe wakati wa kifo cha mende. Ni afadhali flat screen ila ikiwa na ---- halafu kitambi ni mateso hayana mfano
 
mi napenda mwenye kitambi, ila kiendane na back-street!
 
bora awe na kitambi kuliko "kupigwa pasi"
 
awe na kitambi cha D + mume mwenye kibamia......hahahaha ful kutaftana.
 
Ukiwasikiliza hawa utadata...

Kuna ma feminist waliweka picha nyiiingi za wamama ndani ya bikini...wote wana vitambi...ilikuwa expo fulani hivi...message ilikuwa usikubali mtu akuamulie muonekano...

Wanawake tumekuwa tunatathminiwa kama matoy...ndio maana mimi naamuaga kuwapa za uso kwenye thread za vibamia ili nao waone utamu...

Na sasa hivi wanawake wamedata na kutafuta matumbo flat ...ili kuwafurahisha mabwana (wanaume)...

Ni vizuri kutunza afya kwa manufaa yetu...lakini si kwa pressure ya mtu baki...

Dah.....sa vingine vya uzazi, tutafanyaje sasa!
 
Nipo kwenye harakati ya kufuga kitambi nnavyopenda mwanaume mwenye kitambi inanibidi nihamishie kwangu...

jajajajajajajajaja!
cottoncandi-bbw-ebony-boobs-breasts-tits-01.jpg
 
Ukiwasikiliza hawa utadata...

Kuna ma feminist waliweka picha nyiiingi za wamama ndani ya bikini...wote wana vitambi...ilikuwa expo fulani hivi...message ilikuwa usikubali mtu akuamulie muonekano...

Wanawake tumekuwa tunatathminiwa kama matoy...ndio maana mimi naamuaga kuwapa za uso kwenye thread za vibamia ili nao waone utamu...

Na sasa hivi wanawake wamedata na kutafuta flat belly ...ili kuwafurahisha mabwana (wanaume) kha...

Hivi wewe kumbe mi KE?
 
Itabidi tumiombe JF waongeze kipengele cha jinsia pembeni ya avatar ili story zinoge...

Ahsate. Itabidi aise , maana kwetu majina ya majigambo huwa ya wamaume mf: Ibhamba ngulu maana yake mziba mbingu.
 
Back
Top Bottom