nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Watch this clip and you will be inspired...
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=zQucWXWXp3k
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=zQucWXWXp3k
Mazoezi kila kitu. Ndio maana Simba hawana vitambi.
Kuhusu matiti sina utaalamu labda amuone doctor Rahabu au aende MEWATA.
Kuhusu matiti sina utaalamu labda amuone doctor Rahabu au aende MEWATA.
Je kama mtu ni mnene hasa kwa mwanamke, akawa na makalio makubwa kila anapopita watu wanageuza shingo zao. Ghafla akakonda makalio yakapotea, akawa kama namba 1 tukiachilia mbali matitizo ya kiafya na mazoezi kuna kitu kingine kinachangia kupungua kwa mwili?
Bure kwa saa na sh 200000 kwa kila dakika inayoongezeka
jajajajajajajajaja!
View attachment 176376
Na mwenye matiti makubwa sana kupita kawaida kitambi kikibungua si atatamani na kifuani kipungue? Yeye hana hata la kumshauri.
Dah nilikuwa sijui kumbe kibushuti na mwanaume je ?
Ukishakuwa na kitambi haustahili kuitwa mrembo.
Ukiwasikiliza hawa utadata...
Kuna ma feminist waliweka picha nyiiingi za wamama ndani ya bikini...wote wana vitambi...ilikuwa expo fulani hivi...message ilikuwa usikubali mtu akuamulie muonekano...
Wanawake tumekuwa tunatathminiwa kama matoy...ndio maana mimi naamuaga kuwapa za uso kwenye thread za vibamia ili nao waone utamu...
Na sasa hivi wanawake wamedata na kutafuta matumbo flat ...ili kuwafurahisha mabwana (wanaume)...
Ni vizuri kutunza afya kwa manufaa yetu...lakini si kwa pressure ya mtu baki...