Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Wanaume nao wana vitambi vya uzazi?
wanaume wanavyopata vitamb ni vilevile wanawake wanavyopata!
wanaume wanavyopata vitamb ni vilevile wanawake wanavyopata!
mimi naona mwanamke akiwa flat screen na kitambi ndo anachukiza but kama neema za allah zipo kitambi sio ishu
aisee! zinahamia tumboni ama?
Wanaume nao wana vitambi vya uzazi?
wanaume wanavyopata vitamb ni vilevile wanawake wanavyopata!
Hahaaaa umewahi kukiona kitambi changu???
loh!...nishaharbu hapa ngoja ntimke mbio!
Ulikua wapi sijakuona longtime(asipaone mama watoto hapa)
Napenda mwanaume mwenye kitambi ila uyu kimezd
Napenda mwanaume mwenye kitambi ila uyu kimezd
aisee hiyo nishidaa! hiki kinapunguza nguvu za kiume!
mashine inanywea nywii!
Kumbe mimi nilikua sijui
Kwann wenye vitambi wanazidi kuwa wengi?
Mimi nimekulia kijijini usukumani sijawahi kuona mwanamke mwenye kitambi.
Baada ya kuja hapa Dar nilishangaa sana kuona wanawake wenye vitambi.
Ikabidi nianze kufuatilia kwanini wanawake wanavitambi.
1. Pombe hasa beer ndio zinawapa vitambi wanawake.
2. Mwanamke akijifungua huwa anafumgwa tumbo kwa mda fulani lakini sasa hapa mjini hawafungwi.
3. Kazi wanazofanya wengi wenye vitambi ni za kukaa tu. Wanakuwa hawana mazoezi. Kijijini mwanamke anafanya kazi ambazo ni sehemu ya mazoezi.
Ni hayo tu.
aisee hiyo nishidaa! hiki kinapunguza nguvu za kiume!