Mwanamke kuwa na kitambi

Mwanamke kuwa na kitambi

Hapa umewashika aisee.....ila kwa kweli lifestyle yao inachangia....
 
Ninakitambi na ninafanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni but naishia kujamba tu , kitambi hakipungui hata ...:thinking:Nimeacha soda, Wali , Chapati , Vitumbua wapi ! nadhani asili yetu mtuzoee tu
 
wanakula sana miguu ya kuku ,utumbo ,vichwa kwa staili hiyo kitambi kitakosekana kweli
 
wanawake wa dar wanakula sana NGURUWE na mbege,, kifupi unaliona jimwanamke kitambi hicho mpaka unajiuliza ukimchukua kwa bibi utafikaje na tumbo lote hilo ,,, mimi wanawake wenye vitambi aaaaa wapi
 
mimi naona mwanamke akiwa flat screen na kitambi ndo anachukiza but kama neema za allah zipo kitambi sio ishu

The Boss Mwanamke mwenye kitambi minyoo tuwe kwakweli mara nyingi vitovu vyao vinatowa harufu chafu pia isittoshe kama hakukosha hayo mapeto ya hilo tumbo kwa siku moja tu harufu inayotoka huko :angry:
 
hapooo na 2 physiotherapists wanashauri tumbo lisifungwe mm afanye mazoez ya kuimarisha misuli ya tumbo..hao wasukuma wenzangu hawakusaidiwa kwa kufunga tumbo bali kwa kazi wanazofanya coz hawajabweteka km wnwke wa mujini
 
Back
Top Bottom