Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,983
- 48,467
Toka hapa uongo tu tunawivia huwa mnatoa hela mkilewa 😂ila hata hatuwapendi 😂😂Hili swali waulizwe wanawake wanywa vyoda kwa sababu kila siku wanatuvizia watupate , na huku sisi tunawataka walevi wenzetu