Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Tendo la ndoa na tendo la ngono ni the same?
the same mkwe.
Tendo la ndoa na tendo la ngono ni the same?
Maneno hayo charminglady, hebu tema mate chini..... waoaji wenyewe ujue tumebakia wachache siku hizi.
I will never ever kumuita boyfriend mume!!!!
Tendo la ndoa na tendo la ngono ni the same?
Whaaaaaaaat?
halafu ujue mbwembwe huwa zinanogesha malavidavi. think chocs! think!
Usicomplicate Maisha mkuu, mambo madogo hayo.Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..
Tendo la ndoa na tendo la ngono ni the same?