Mwanamke kumuita boyfriend mume

Mwanamke kumuita boyfriend mume

hivi daughter ukimuita bf mume ukweli si bado unajulikana tu sio mumeo na ww sio mkewe? mi naona ni jina tu kama vile mpnz, bby.... etc. haibadili uhalisia.

Hapana mamie... Mume ana position yake aisee, sasa utakuwa na waume wangapi? As unajikuta mpaka ufikie ndoa ushakuwa na dates kadhaa! Mweeeh... Atabaki kuwa BF, Mpenzi, Baby n.k.

Naona mashost zangu wanavojiachia kwa BF zao et "Mume wangu" Kesho na kesho kutwa wanaachana anapata mwingine pia anaitwa mume lol!! Hata hadhi ya mume inaisha...
 
Alafu hii tabia imeota mizizi,eti mnatumiana msg oooh...karibu tule mume wangu...nae anajibu asante mke wangu....unakula nini?? Yani unafiki mtupu then end of the day mnaachana kiaina.

Dah..my daughter una maekspiriens namna hiyo.... duh...! kweli nimekuza mwana.
 
labda wanafanya kwa imani

wakiamini one day atakua mume/mke kweli

maneno huumba bana
 
Dah..my daughter una maekspiriens namna hiyo.... duh...! kweli nimekuza mwana.

Not me daddy,i see it frm my frendoo. I'm not like that,yale maadili uliyonilelea ndio nayatumia kama muongozo.
 
Alafu hii tabia imeota mizizi,eti mnatumiana msg oooh...karibu tule mume wangu...nae anajibu asante mke wangu....unakula nini?? Yani unafiki mtupu then end of the day mnaachana kiaina.


Mfyuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiwwwwwwwwwww.......... Mume my foot!!!!!!!!!!
 
Hao wanawake huwa nawafananisha na watoto wajengao mahekalu yao ya mchanga kwenye fukwe za bahari, maji ya bahari yanapojaa huzibomoa hekalu hizo na hupotea kama hazikuwepo vile
 
Hapana mamie... Mume ana position yake aisee, sasa utakuwa na waume wangapi? As unajikuta mpaka ufikie ndoa ushakuwa na dates kadhaa! Mweeeh... Atabaki kuwa BF, Mpenzi, Baby n.k.

Naona mashost zangu wanavojiachia kwa BF zao et "Mume wangu" Kesho na kesho kutwa wanaachana anapata mwingine pia anaitwa mume lol!! Hata hadhi ya mume inaisha...

daughter ulimwengu huu ukiishi kwa kujibana bana hakuna siku utayofurahia mahusiano. kama waweza jiachia kwa uliyenae we jiachie, mkiachana ujue haikupangwa muwe pamoja na maisha yatasonga mbele.
 
Hao wanawake huwa nawafananisha na watoto wajengao mahekalu yao ya mchanga kwenye fukwe za bahari, maji ya bahari yanapojaa huzibomoa hekalu hizo na hupotea kama hazikuwepo vile

toka lini umeanza kutumia misamiati migumu hivi shemeji? unatuchosha bana kufikiria.
 
Si halali kabisa,utaita wangapi mume!

Jina lake halisi linatosha kabisa..hizo zingine mbwembwe tu

halafu ujue mbwembwe huwa zinanogesha malavidavi. think chocs! think!
 
Back
Top Bottom