Yote hayo ni sababu ya upendo w dhati.
daughter ulimwengu huu ukiishi kwa kujibana bana hakuna siku utayofurahia mahusiano. kama waweza jiachia kwa uliyenae we jiachie, mkiachana ujue haikupangwa muwe pamoja na maisha yatasonga mbele.
kabisa stress free life, mnajifurahisha tuu ikiwa kweli poa na ikiwa sio riziki pooa pia!
dont take life too serious, nobody gets out of it alive nways!!!
thats No 1 rule........lolest.
toka lini umeanza kutumia misamiati migumu hivi shemeji? unatuchosha bana kufikiria.
Hahah shemeg mbona nimetumia lugha nyepesi tu!! haya hebu mnong'oneze shemeji yako mahali ambapo hujaelewa
Ulimbukeni kabisa huo...eti 'mume wangu' 'mke wangu' alafu apo familia zote mbili hazijawatambua bado,kijana anakupiga danadana tu...
daughter ulimwengu huu ukiishi kwa kujibana bana hakuna siku utayofurahia mahusiano. kama waweza jiachia kwa uliyenae we jiachie, mkiachana ujue haikupangwa muwe pamoja na maisha yatasonga mbele.
Mummy kwani kujiachia ndo mpaka tuitane mume na mke... Hilo halikubaliki kamwe aisee!!! OVER MY DEAD BODY
ila daughter tendo la ndoa mtashiriki kasoro kumuita mume tu eeeh?
Maneno hayo charminglady, hebu tema mate chini..... waoaji wenyewe ujue tumebakia wachache siku hizi.I will never ever kumuita boyfriend mume!!!!
Maneno hayo charminglady, hebu tema mate chini..... waoaji wenyewe ujue tumebakia wachache siku hizi.
sijaelewa kama unakubaliana na hili swala au walipinga shemeji. lol
Maana yangu ni kama ulivyoandika wewe...
Haijalishi wamuita majina gani, haibadilishi uhalisia kuwa sio mumeo....
Hakuna ubaya mbona.....hutakiwi kukaza kwenye relationship unless binafsi una lengo la kupita tu...ila akuuu mwanakwetu kama unampenda muite hata baba/mama....muonyeshe nafasi yake ilivyo muhimu..kuachana matokeo tu...awe mume au Bf/Gf....MAISHA NDIO HAYA.....Jimilikishe mwayego weeeh...
ila daughter tendo la ndoa mtashiriki kasoro kumuita mume tu eeeh?