mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
- Thread starter
- #161
Sasa wee umenena....Sijui kama na wanaume huwa wapo hivi.....
Wanawake tunakaaga na mambo mioyoni, japo nshasimulia kwa mashost ila sijasahau so kuna siku tu vinajirudia kichwani ndio unashangaa mwingine ananuna (hapa utasikia wanawake huwa wananuna bila sababu) la!!! Sii kwamba hatuna sababu, tunazo na hatusemi kwakua yanakua ni mambo yalopita.
Ni vile yamenipita kichwani muda huo