Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Acha kuwa kama punguani wewe...nyie ndio aina ya wanaume manowekewa mpaka ratiba ya kugonga papuchi na wake zenu na mkitoka kazini huwa mnasugua masufuria huko jikoni....pumbaff...
Yaani mwanamke akuamulie hatima ya maisha ya damu yako......?? Yeye kama nani kwanza...???...kama papuchi tu si zinauzwa mpaka buku mbili tu.....sasa cha zaidi ambacho wanawake wengine hawana ni nini labda.....au huyo mwanamke ulitongozewa....??
Acha upimbi wewe ,nyie ndio huwa mpaka mnapagiwa masharti ya ndugu zako kufika kwako...huku ukisomesha ndugu wa mwanamke ambao kamwe hawana shukrani na hawata kujua kamwe....tena ujinga kama huu usiuseme mbele ya wanamume wenzio, unaweza ukachezea makofi kama sio ngumi kabisa.....utajisikiaje siku uko kwenye gari yako alafu unamuona ghafla anakatiza mbele na gunia la makopo ya chupa za maji...???
Utajisikiaje siku utakaoambiwa kuwa mwanao ni miongoni mwa machokoraa wanaoosha vioo barabarani....??
Utajisikiaje siku utakayopewa taatifa kuwa mwanao mpenzi amechomwa moto baada ya kukwapua mkoba wa mtu fulani baada ya kuwa mtoto wa mtaani...??? Hatima ya yote haya yanategemea maamuzi yako ya sasa.....au mkuu wewe ndio umeolewa na hiyo kazi amekutafutia baba mkwe....???.
Acha ujing.a wewe fanya maamuzi ya kiume wewe....
Take it easy KikulachoChako.....
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwanamjke kwanza,kisha ubebe mimba,kisha ujifungue kwa opereshen thn.uje hapa tuendelee kueleweshana kwa hoja sio mihasira ya a certain woman in your past life!
sawa enh!
Samahani dada kama katika maandiko yangu kuna sehemu nimekuboa.....
 
Mleta mada ninavyoona mimi huyo mwanamke alikubali kumlea huyo mtoto tu ili muingie kwenye ndoa...sasa anaona yake yameshamuendea anajaribu kukupanda kichwani.Unachopaswa kufanya ni kuwa na msimamo.Usiitekeleze damu yako kwaajili ya mwanamke wakufikia.Kumbuka huyo ni mwanamke tu.
You are very WISE....mpaka namuonea wivu mumeo....BRAVO......
 
Mmh... kwa sababu wa operesheni mimba yake inakua juu ya mti.

yani kaniumiza!
mi opereshen imenilaza miezi mitatu chini siwezi hata kubeba mwanangu vizuri halafu kuna mtu anawaza kujifungua kwa opereshen ni starehe fulani hivi ambayo inafanya tendo la kuleta kiumbe duniani liwe la kubezwa?
dah!
 
Sawa mkuu...lakini huyo mwanamke anaonyesha tu kuwa ana asili ya roho mbaya.....furaha yake ni kuona huyo mtoto anakuwa chokoraa....huku wanawe wakiwa na future nzuri......
Ni kweli anayoyafanya huyo mwanamke si sawa.Kuna kitu kinampa kiburi hapo....mtoto hahusiki na chochote hata kama yeye na mumewe wanatofauti zao hapo ni kuamua kusuka ama kunyoa!Alikuwa anajua anaingia kwenye ndoa ambapo kuna mtoto wa nje anahusika so akili kumkichwa!!
 
Katika wanawake elfu...unaweza ukampata mmoja tu..wa aina hiyo.....na hao walikuwa wanawake wa zamani waliokuwa wanajua uchungu wa uzazi....sio hawa wanaojifungua kwa operesheni...
what are u trying to insinuate? that waliojifungua kwa operation sio wazazi au hawapati uchungu au wanafanya fashion kujifungua kwa operation? umejaribu kuconsider other factors zinazopelekea operation kwa mama mjamzito? au ushafikiria kuwa kuna wengine wanapata uchungu na operation juu? au umekurupuka tu mkuu?
 
Maisha haya yanatofautiana sana,kuna mdau wangu yeye alipata mtoto kabla ya ndoa, akiwa anasoma kama mtoa mada,baada ya kumaliza yule mama wa mtoto akaolewa,jamaa akaoa,sasa jamaa anahitaji kumchukua mwanae amsomeshe na amlee,upande wa binti hawataki kumtoa na wanasema jamaa atume matumizi,ilhali mkewe wa sasa yupo radhi yule mtoto aje amlee kama mwanae.
Mtoa mada yeye kabaniwa na mkewe while upande wa mzazi mwenza wake wa kwanza wanampigia kelele akamfate mtoto.
Haya ndo maisha.
 
yani kaniumiza!
mi opereshen imenilaza miezi mitatu chini siwezi hata kubeba mwanangu vizuri halafu kuna mtu anawaza kujifungua kwa opereshen ni starehe fulani hivi ambayo inafanya tendo la kuleta kiumbe duniani liwe la kubezwa?
dah!

Naweza kuhisi maumivu yako.
Tumsamehe bure tu.
Kama anaona kuzaa kwa kisu ni kuokota hivi yeye asiejua hata maumivu ya tumbo la hedhi anaweza kuja kuwa na uchungu na mwanae katika hali yoyote?
Umeshamuelewa akili na upeo wake wa kufikiri.... Mchukulie hivyo.
 
hapa angekuja mwanamke aseme mume kakataa kuishi na mtoto wa mkewe Aisee mngetukana..sijui mnaona wanawake hatuna hisia yaani siye kama sponch hivi.
Hahaha Hornet nakupenda mamaaaa , tuliza munkari.
 
Last edited by a moderator:
Mtoto wangu wa kwanza ana miaka 8 nilimpata nikiwa mwaka 2 chuo ambapo kutokana na mamake kutokuwa mvumilivu kunisubiria nimalize kusoma aliamua kuolewa na kumuacha nyumbani kwao mtoto, nilipohitimu chuo na baada ya kupata kazi niliamua kumtafuta mwenza wa kuoa ambapo kabla ya yote nilimwambia ukweli kuwa nina mtoto na yeye akakubali atamlea lakini mara baada ya ndoa akanigeuka hataki kumuona mtoto huyo na kule anakokaa mtoto wanataka nimchukue.

Nimetumia kila njia imeshindikana msimamo wake ni hataki kumlea mtoto wa mwanamke mwingine, nifanyeje hapa wakuu maana nikilazimisha (uwezo huo ninao) anaweza kuwa anamtesa mtoto kipindi sipo akamsababishia matatizo ikitegemea huwa nasafiri mara kwa mara na sikai nyumbani sana na kuvunja ndoa siwezi maana ni ya kanisani na tayari tuna watoto
wengine wawili.

Ushauri wakuu

Chanzo cha matatizo yote haya ni wewe,unakosa kitu "msimamo"

1.Ulishindwa kumuhakikishia msichana wako uliemzalisha kama utamuoa,kapata mume wewe unaona kama alishindwa kukuvumilia,si kweli
2.Umeshindwa kumwambia mkeo msimamo wako kwa mwanao,kisa unahofia ndoa
3.Hata sasa haujaonyesha umesimamia wapi

Mpende sana mwanao ila ndoa pia ina thamani yake,mchukue mwanao ishi nae nyumbani kwako na muajiri msichana kwa ajili ya kumuhudumia mwanao,mwambie mkeo kuwa huu ndio msimamo wako ila kuwa mkweli kwa mkeo
 
Back
Top Bottom