Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Sikiliza,ndugu yako ni mtoto na si mkeo,ndoa ya kanisani ni bora kuliko mwanao?
Chukua mwanao ukae nae,hataki aondoke yeye akuachie watoto wako,utatafuta hata hg akuangalizie watoto.
Kwanza dogo mkubwa hyo,lini atapata mapenzi toka kwako,baadae atakukana hyo kwamba hukumlea.
Wanawake wapo tu,lakini huwezi jua hyo mwanao mola kampangia riziki gani.

Mkuu umeongea point ya msingi sana....jamaa kama vipi alitimue hilo janamke na aishi na wanae tu....unaweza kukuta hilo lijanamke linawazia mirathi tu kabla jamaa hajafa...
 
Hili la roho mbaya ni baadhi tu Mkuu, kuna wengine wana roho nzuri mpaka utashangaa. Mtoto kama huyu anaweza kumlea kama wa kwake na watu wasiojua wanaweza kudhani alilala tumboni mwake kwa miezi tisa.

Wanawake wana roho mbaya sana....yalishanikuta wakati nipo mdogo....na nikafanya maamuzi magumu...na mpaka leo nipo huru....lakini bado nasisitiza wanawake wana roho mbaya sana....nahisi huwa wanatumia ndude zao kufikiria na kufanya maamuzi badala ya vichwa....katika kesi kama hizi mwanaume unatakiwa usimame kidete haswaaa....la sivyo mwanao ataishia kuwa chokoraaa.....nimejifunza mengi sana kwa mama wa kambo....na nimepata kuwajua wanawake vizuri kwa kuwa mwalimu wao ni mmoja na roho zao zinafanana....chonde chonde ndugu usimtupe mwanao kwa sababu ya mwanamke...mtoto ni damu yako na mwanamke ni mpita njia tu kwenye maisha yako.....kwanza una uhakika kama hao waliopo nyumbani ni wa kwako kweli au amebambikia tu...nenda kapime DNA....wanawake wenyewe wa miaka hii hawaaminiki ndugu.....inakubidi uishi nao kimachale machale....mguu nje mguu ndani..muda wowote anaweza akawekea sumu kwenye msosi ili wewe ufe na yeye akaishi na bwana mwingine.....unaweza ukaona ni jinsi gani hawa wenzetu walivyo na akili ndogo....
 
Mwanamke hata aolewe na nani hakubali kimwacha mwanawe,sasa wewe unakuaje unamuacha mwanao?
Uwezo unao kwa nini usikae nae? Kama hataki atimue
utawalea ndugu zake wewe mwanao hayupo hapo.
Chagua mke ai mtoto?
Nakusuikitikia sana ndugu,wanawake ni wabinafsi sana.

Sio ubinafsi pia wana roho mbaya sana....sie tulioishi na mama wa kambo tunawajua sana hawa watu...akija dingi anajifanya anakupenda hakuna mfano mpaka anakuogesha....kiasi kwamba hata dingi ukimuambia madhira unayofanyiwa anakuona wewe mzushi tu...huku yeye likifurahia mateso yako....ila nilimalizana nae kijemedari na nikachukua hamsini zangu...
 
Mkuu unawajua wanawake kweli nikilazimisha yanaweza tokea mengine.

Acha kuwa kama punguani wewe...nyie ndio aina ya wanaume manowekewa mpaka ratiba ya kugonga papuchi na wake zenu na mkitoka kazini huwa mnasugua masufuria huko jikoni....pumbaff...
Yaani mwanamke akuamulie hatima ya maisha ya damu yako......?? Yeye kama nani kwanza...???...kama papuchi tu si zinauzwa mpaka buku mbili tu.....sasa cha zaidi ambacho wanawake wengine hawana ni nini labda.....au huyo mwanamke ulitongozewa....??
Acha upimbi wewe ,nyie ndio huwa mpaka mnapagiwa masharti ya ndugu zako kufika kwako...huku ukisomesha ndugu wa mwanamke ambao kamwe hawana shukrani na hawata kujua kamwe....tena ujinga kama huu usiuseme mbele ya wanamume wenzio, unaweza ukachezea makofi kama sio ngumi kabisa.....utajisikiaje siku uko kwenye gari yako alafu unamuona ghafla anakatiza mbele na gunia la makopo ya chupa za maji...???
Utajisikiaje siku utakaoambiwa kuwa mwanao ni miongoni mwa machokoraa wanaoosha vioo barabarani....??
Utajisikiaje siku utakayopewa taatifa kuwa mwanao mpenzi amechomwa moto baada ya kukwapua mkoba wa mtu fulani baada ya kuwa mtoto wa mtaani...??? Hatima ya yote haya yanategemea maamuzi yako ya sasa.....au mkuu wewe ndio umeolewa na hiyo kazi amekutafutia baba mkwe....???.
Acha ujing.a wewe fanya maamuzi ya kiume wewe....
 
Hili la roho mbaya ni baadhi tu Mkuu, kuna wengine wana roho nzuri mpaka utashangaa. Mtoto kama huyu anaweza kumlea kama wa kwake na watu wasiojua wanaweza kudhani alilala tumboni mwake kwa miezi tisa.

Katika wanawake elfu...unaweza ukampata mmoja tu..wa aina hiyo.....na hao walikuwa wanawake wa zamani waliokuwa wanajua uchungu wa uzazi....sio hawa wanaojifungua kwa operesheni...
 
Binadamu ni vigeugeu tu , kwahiyo ndiyo atumie njia hiyo kumuadhibu?
Hlf hapo toka amuoe mpaka wanapata watoto wawili walikuwa hawakai na huyo mtoto mkubwa.
Wanawake wa zama hizi mnalegezewa legezewa ndiyo maana mnaota mapembe.

hapa angekuja mwanamke aseme mume kakataa kuishi na mtoto wa mkewe Aisee mngetukana..sijui mnaona wanawake hatuna hisia yaani siye kama sponch hivi.
 
Katika wanawake elfu...unaweza ukampata mmoja tu..wa aina hiyo.....na hao walikuwa wanawake wa zamani waliokuwa wanajua uchungu wa uzazi....sio hawa wanaojifungua kwa operesheni...

wacha wee
 
Wanawake wana roho mbaya sana....yalishanikuta wakati nipo mdogo....na nikafanya maamuzi magumu...na mpaka leo nipo huru....lakini bado nasisitiza wanawake wana roho mbaya sana....nahisi huwa wanatumia ndude zao kufikiria na kufanya maamuzi badala ya vichwa....katika kesi kama hizi mwanaume unatakiwa usimame kidete haswaaa....la sivyo mwanao ataishia kuwa chokoraaa.....nimejifunza mengi sana kwa mama wa kambo....na nimepata kuwajua wanawake vizuri kwa kuwa mwalimu wao ni mmoja na roho zao zinafanana....chonde chonde ndugu usimtupe mwanao kwa sababu ya mwanamke...mtoto ni damu yako na mwanamke ni mpita njia tu kwenye maisha yako.....kwanza una uhakika kama hao waliopo nyumbani ni wa kwako kweli au amebambikia tu...nenda kapime DNA....wanawake wenyewe wa miaka hii hawaaminiki ndugu.....inakubidi uishi nao kimachale machale....mguu nje mguu ndani..muda wowote anaweza akawekea sumu kwenye msosi ili wewe ufe na yeye akaishi na bwana mwingine.....unaweza ukaona ni jinsi gani hawa wenzetu walivyo na akili ndogo....

Ushauri mzuri sana huu...
Mtoa mada ufanyie kazi.
 
hapa angekuja mwanamke aseme mume kakataa kuishi na mtoto wa mkewe Aisee mngetukana..sijui mnaona wanawake hatuna hisia yaani siye kama sponch hivi.
Mi ndio maana nimeamua kuongea kama wao japo ningeweza kusaidia jambo kwa ajili ya ustawi wa mtoto ( hili linanigusa)
Ila hawa wanaume akiwemo mtoa mada huwa wanatabia kuchukulia watoto wao ndio watoto ila akiwa wangu ni mdoli.
Kama mtoa mada na wachangiaji wa navyoumia na hili ndivyo hata wanawake huwa tunaumia.
Ubinafsi umewajaa, anaona mtoto wa mkewe akienda kukaa na wanae atafaidi ugali anaonunua.
Wanasahau kulea ni zaidi ya ugali wako, huo ataupata hata jalalani.
 
Katika wanawake elfu...unaweza ukampata mmoja tu..wa aina hiyo.....na hao walikuwa wanawake wa zamani waliokuwa wanajua uchungu wa uzazi....sio hawa wanaojifungua kwa operesheni...
Beba mimba na wewe uzae !Fustration zako za kulelewa na mama wa kambo zisikufanye uvunje keyboard sijui keypad huko ulipo!
 
Tupa kule uyo mwanamke,Mchukue mwanao uishi nae wanawake wengine wana roho mbaya tu by nature
 
siku moja mtoto akiwa shule shemeji akaenda kumtembelea huko...kuna zawadi alimpelekea ikiwapo na chakula lakini chakula kile alikitia sumu...wakati akiongea na mtoto alimpa chakula akala na alipomaliza kula yeye aliaga na kuondoka haraka sana shuleni....huku nyuma mtoto akaanza kuumwa na hali ikawa mbaya...walimu wakashangaa kuona mara baada ya mama kuondoka mtoto amenza kuumwa..wakampa tiba ya kwanza kisha wakampeleka hosp..taarifa zikafika kwa mume ...akaenda hospitali alikuwa na hali mbaya sana..


.ili kuokoa maisha ya ndugu yangu na mwanawe na kwa ustawi mkubwa wa ukoo wetu na kwa kuangalia historia ya madhira aliyoyaleta yule mke wa kaka yangu ...she was configured and given a permanent resting place.....

Bora aliekataa wazi kuliko aliekubali kinafiki.
 
Mkuu unawajua wanawake kweli nikilazimisha yanaweza tokea mengine.

Nwafahamu Mkuu kwani nami mwenyewe mwanamke. Hutegemea mwanaume alivyo. Asipokuwa imara wengine hutake advantage. Na umesema mlikubaliana endapo ungekuwa umemficha labda. Na hata kama umemficha kama mke anakupenda tapenda wewena s ulivyoavo aanda na watoto wako!
 
ukikosa pa kumpeleka na roho yako ikakubali nipe huyo mtoto kama ni wa kike nimpeleke kwa mama yangu. Kwa shart moja tu,

ukubali asome shule ya kawaida ya pale nyumbani lengo ni kwamba awe karibu na mama na malezi bora. Yaan aende shule jion arudi nyumbani.

Matunzo atapata pale kwetu akimaliza drs la saba ataamua yeye ukijiskia kutuma matumzo ni juu yako tho sio lazima na ada ya primary na matunzo yote atapata home.

Nyumban atakaa kama mdogo wetu na si mfanyakazi, mfanyakazi yupo.

Ukijiskia njoo pm.

Hongerah kwa moyo wako mzuri na wa upendo!
 
Molembe mama mzazi wa huyo mwanao yuko wapi? na nini ilikuwa sababu ya wewe kutoishi nae? Zipi ni tabia za huyo mwanao? Unadhani unawajibu kwa mkeo na huyo mwanao? kama ndio ni upi? Ukianza kuleta majibu ya haya maswali machache naweza kukusaidia ufikirie zaidi kuliko kukushauli.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom