Nifanyaje sasa maana huyu mwenzenu hataki kabisa kukaa na huyo mtoto nimeshawishi nimeshindwa na kutumia nguvu naweza ila sasa si atamnyanyasa.
Mkeo sio ndugu yako,Mwanao huwezi achana nae abadani, kwa kutambua hili , utajua nn cha kufanya.
Mpe option hii, mtoto aje nyumbani au yeye aondoke....achague moja hapo....then msikilizie atajibu nini...mwanaume lazima uwe na msimamo kaka.
achana na huyo mwanamke hakufai
Sikiliza,ndugu yako ni mtoto na si mkeo,ndoa ya kanisani ni bora kuliko mwanao?
Chukua mwanao ukae nae,hataki aondoke yeye akuachie watoto wako,utatafuta hata hg akuangalizie watoto.
Kwanza dogo mkubwa hyo,lini atapata mapenzi toka kwako,baadae atakukana hyo kwamba hukumlea.
Wanawake wapo tu,lakini huwezi jua hyo mwanao mola kampangia riziki gani.
Huyo mtoto mpeleke kwa mama yako kama yupo hai, baadhi ya wanawake wanaakili finyu sana hawezi kumkataa mtoto aliyemkuta ila kama umemzaa ukiwa na uhusiano nae hapo anahaki yakukataa. usimlazimishe kumlea asije kumnyanyasa tu mtoto. natamani umwache na yeye ili aone uchungu wa mtoto wa mtu.
Mtoto wangu wa damu nisikae nae kisa mwanamke?solution ni moja tuu aondoke nikae na mtoto wangu, kwa namna anavyoonyesha ana roho mbaya?hata akikubali sasa umlete siyo wa kumuamini tena
Kwani kakuzalia watoto wangap mpaka hanakupelekesha kama mburura?!?!piga chini,be a man,act like a boss.
Tuacheni longolongo wakuu, hivi kuna mwanaume wa kumlea mtoto wa mwanaume mwenzake hapa?
nyie ndo wa kwanza kabisaa " kama unataka ndo na mimi, huyo mtoto mrudishe kwa baba yake kwanza"
kumbe linauma eee?
Mwanaume kukataa kulea mtoto ni sawa maana mtoto yupo upande wa mme lakini mwanamke inakuwa ngumu.
nimewah kukutana na hali kama hii kwa ndg wa karibu ndo mana nasema huyu kuna kitu anaficha hapakwanin ung'ang'anie the other side of a story? What if thats a plain truth? Can't you give your comment though?
Una nia kweli ya kumchuka mtotio wako? Sijui kwa nini naona kama Mke wako anakucontrol. Kama alijua kuwa una motto na mlikubaliana mtamchukua ilikuwa tu kumuarifu kuwa mwezifulani namuendea motto wetu na kumpa warning kuwa asije mtesa mototo wako. Japo namshangaa huyo aliyeolewa na kumuacha mtoto wake!!!!!!!Nimeshuhudia mama kambo akimnyanyasa mtoto naogopa sana sipendi mtoto anyanyaswe muda mwingi sipo nyumbani nasafiri mara kwa mara.
Una nia kweli ya kumchuka mtotio wako? Sijui kwa nini naona kama Mke wako anakucontrol. Kama alijua kuwa una motto na mlikubaliana mtamchukua ilikuwa tu kumuarifu kuwa mwezifulani namuendea motto wetu na kumpa warning kuwa asije mtesa mototo wako. Japo namshangaa huyo aliyeolewa na kumuacha mtoto wake!!!!!!!
asie... mtt hana kosa..ana ak ya kupewa malez nawe km baba!! cc wanawake somtm n mbwa sn... uawezaje kumkana mtt amby umemkuta??? mkumbushe huyo mtt alpatkana kabla ata yy hamjafahamiana... mchukue mwanao... km upo vzr kiuchum...mpeleke boardng schools za academy...lkz c vby ukawa nae...n kw muda tu.. huyo mkeo ana roho mbaya
Una nia kweli ya kumchuka mtotio wako? Sijui kwa nini naona kama Mke wako anakucontrol. Kama alijua kuwa una motto na mlikubaliana mtamchukua ilikuwa tu kumuarifu kuwa mwezifulani namuendea motto wetu na kumpa warning kuwa asije mtesa mototo wako. Japo namshangaa huyo aliyeolewa na kumuacha mtoto wake!!!!!!!
Hhahahshhahahahahahaha sio huu banaaaaa!Hivi ni mtandao upi wa kijamii huwa nakuta mada kama hizi?
Wanaume wanashawishiana na kukatazana kulea mtoto aliemkuta kwa mkewe?
Nadhani sio jamiiforums.
Nilimwambia mapema kabisa kuwa nina mtoto hata kabla ya ndoa tungali wapenzi na tukawa tunamtembelea mtoto tukiwa wote lakini baada ya ndoa akasema hawezi kulea mtoto wa mwanamke mwingine cha ajabu kuna mtoto wa dadangu nakaa nae anaishi nae vizuri tu nongwa inakuwa kwa huyu wangu.