kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,959
- 2,618
Haya siyo maovu. Kwa sababu amepatikana hata kabla ya kumpata huyo mke wake. Kwani huyo mke alimkuta na kingozi chake aka bikra?
Mwanamke tu huyo ana roho mbaya yuko hapo kwa fursa tu. Kwanza ni kabila gani? Mtafutie hata kwa ndugu zako akakae. Atakuja kuwa msaada mkubwa sana kwako. Utanishukuru baadae.
Kwanza usikute alishatoa mimba ata tatu
