Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Mwanamke kamkataa mtoto wangu

Haya siyo maovu. Kwa sababu amepatikana hata kabla ya kumpata huyo mke wake. Kwani huyo mke alimkuta na kingozi chake aka bikra?
Mwanamke tu huyo ana roho mbaya yuko hapo kwa fursa tu. Kwanza ni kabila gani? Mtafutie hata kwa ndugu zako akakae. Atakuja kuwa msaada mkubwa sana kwako. Utanishukuru baadae.

Kwanza usikute alishatoa mimba ata tatu
 
Hehehe huyo mwanamke ningemrusha kichura hadi kwao. eti Nini? unakataa damu yangu? who r u by the way. Juzi tu nilimpiga wife beat hio akatulia. Swala la wanangu ni NON NEGOTIABLE wewe lolote linaweza tokea. Full fukn stop.
Aaaaaa ndoa inaamani kweli
 
Afu nyie mshawageuza mama zenu wazazi ni watu wakulea watoto wenu, acheni hizo mama amekulea wewe halafu unataka amlee na mwanao tena afu unakuta mama mwenyewe ameshachoka na umri umeenda hata nguvu za kukimbizana na malezi hana, acheni upumbavu huo
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom