Mtoto wangu wa kwanza ana miaka 8 nilimpata nikiwa mwaka 2 chuo ambapo kutokana na mamake kutokuwa mvumilivu kunisubiria nimalize kusoma aliamua kuolewa na kumuacha nyumbani kwao mtoto, nilipohitimu chuo na baada ya kupata kazi niliamua kumtafuta mwenza wa kuoa ambapo kabla ya yote nilimwambia ukweli kuwa nina mtoto na yeye akakubali atamlea lakini mara baada ya ndoa akanigeuka hataki kumuona mtoto huyo na kule anakokaa mtoto wanataka nimchukue.
Nimetumia kila njia imeshindikana msimamo wake ni hataki kumlea mtoto wa mwanamke mwingine, nifanyeje hapa wakuu maana nikilazimisha (uwezo huo ninao) anaweza kuwa anamtesa mtoto kipindi sipo akamsababishia matatizo ikitegemea huwa nasafiri mara kwa mara na sikai nyumbani sana na kuvunja ndoa siwezi maana ni ya kanisani na tayari tuna watoto
wengine wawili.
Ushauri wakuu
gfsonwin, wapo wanawake/ wanaume wanao wakataa watoto wanano wakuta kabla ya kufunga ndoa.hana option ya kutoa aseme ukweli tatizo limetokana na nini??
mkewe hawez kukurupuka tuu kumkataa mtt alomkuta ndoan
Nimeshuhudia mama kambo akimnyanyasa mtoto naogopa sana sipendi mtoto anyanyaswe muda mwingi sipo nyumbani nasafiri mara kwa mara.
utawajua wanaotegeshea ndoa.
Anyway peleka mtoto boading, akifunga shule akae kwako week siku zilizobaki mpeleke kwa dada yako. Kwan wew hauna mama?
Mtoto wangu wa kwanza ana miaka 8 nilimpata nikiwa mwaka 2 chuo ambapo kutokana na mamake kutokuwa mvumilivu kunisubiria nimalize kusoma aliamua kuolewa na kumuacha nyumbani kwao mtoto, nilipohitimu chuo na baada ya kupata kazi niliamua kumtafuta mwenza wa kuoa ambapo kabla ya yote nilimwambia ukweli kuwa nina mtoto na yeye akakubali atamlea lakini mara baada ya ndoa akanigeuka hataki kumuona mtoto huyo na kule anakokaa mtoto wanataka nimchukue.
Nimetumia kila njia imeshindikana msimamo wake ni hataki kumlea mtoto wa mwanamke mwingine, nifanyeje hapa wakuu maana nikilazimisha (uwezo huo ninao) anaweza kuwa anamtesa mtoto kipindi sipo akamsababishia matatizo ikitegemea huwa nasafiri mara kwa mara na sikai nyumbani sana na kuvunja ndoa siwezi maana ni ya kanisani na tayari tuna watoto
wengine wawili.
Ushauri wakuu
Ndugu zangu hawana matatizo na sijawahi kuyaona halafu huyu mwanamke anampenda huyu mtoto wa dadangu sana na wako karibu sana na huyo dadangu kuhusu ugomvi wa familia haupo kabisa.
gfsonwin, wapo wanawake/ wanaume wanao wakataa watoto wanano wakuta kabla ya kufunga ndoa.
Binafsi nilikutana na mchumba na nilipo mwambia ninao watoti mapacha, alinijibu yehawezi.
Na hapo niliamua kukata mawasiliano na yeye.
Over...
Kwani kakuzalia watoto wangap mpaka hanakupelekesha kama mburura?!?!piga chini,be a man,act like a boss.
aisee i wish to hear the other side of the story before giving my comments