AhahahaaaMama Yasi
Malipo hapa duniani wewe nyoka kabisa kabla hujafanya hayo utakuwa segereaHii ni dharau kubwa Mkuu. Nimemfanyia mengi mabaya lkn kwa hili analolifanya linanipa akili mpya sio ile niliyokua nayo mwanzo
Kwanini basi umerudi yule nani wako yuko wapi mkuu!!!" Sky Eclat" mimi ni mlevi lkn macho yangu yanaona, nisione kwa akili hata kwa macho niwe kipofu?
Hawezi lipa vile ulivyofanya wewe ulichomfanyia kiasha ukatokomea huko zote hizo laanaNi kweli wanawake muda mwingine tunawatibua wenyewe lkn hata revenge nayo ina mipaka ujue.
Aliomfanyia yeye ni mazuri kwasababu mke ana moyo wa plastic asubili tu wakulane mpaka watosheke tu hakuna namnaDuniani Kuna vituko hiki chako ni zaidi ya hivyo mkuu
Huyo ni mkeo Chagua moja kusuka au kunyoa kwa kuwa na maamzi ya kiume juu ya hatima ya family yako
Kama hapo ni kwako mtimue huyo mwanamke aende akaishi na huyo mwanaume maana huko ni kuvuana nguo hadharani
Kosa uanze wewe halafu useme hapati hata kijiko duuu mkuki kwa nguruwe ati wewe kaa chini siku ngapi pombe ziishe mwambie vipi namna gani ufanye utaratibu kama kila mtu ashike njia yake au waozeshe kabisa, kuua haitakusaidia wakipona je halafu wewe ukaishia segerea faida iko wapi usijarabu kufanya kitu kama hichoKumuacha si atang'ang'ania mali zangu. SIMUACHI NA HATA KIJIKO HAPATI
Alidhani hatongozwiUlivyokuwa unamwacha wiki mbili hkujua kuwa anahitaji mwanaume na yeye?
Awalee na pombe zake hivyo hivyo?Waambie wahame yeye na mr range watoto wako utalea mwenyewe au ukubali kuwa houseboy wao iko siku watakwambiab usafishe range wao bado wamelala
Mipaka?Ni kweli wanawake muda mwingine tunawatibua wenyewe lkn hata revenge nayo ina mipaka ujue.
Mbona wewe ulioa mdigo wakati yeye mkeo hajafa???Tayari dhambi inanikimbiza sasa, siwezi kuikimbia tena lazma niikabili. Siwezi kuendelea kumuangalia anaoa mwanaume ndani na mi nipo sijafa.
Haya ndiyo matatizo mengine, tukiwapenda wanafikiri hatuna pa kwenda ndiyo maana tunawagandaAlidhani hatongozwi