Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Mara kadha nimeona katika mitandao wanawake wakiomba misaada ya pesa ili waende India kupata matibabu yatakayowafanya wapate mimba lakini wanawake hao huwa hawana waume. Sasa kama mwanamke hana mume anatakaje msaada wa kupatiwa mimba?
Mmoja alikuwa na majigambo akisema anataka atakayemua awe na mamilioni lakini kabla yajaolewa akaanza kuomba michango aende kutibiwa ili aweze kushika mimba. Sasa kama hajaolewa na kukaa na mume anaanze kuomba misaada ya kutibiwa ili apate mimba?
Kwanini wasiolewe kwanza ndio wakae katika ndoa kisha wacheki kama wanaweza kudungwa mimba au laa kuliko kuruka ruka na kulalamika kuwa hawapati mimba wakati wao wenyewe hawatulii wamejaa majigambo kibao!
Mmoja alikuwa na majigambo akisema anataka atakayemua awe na mamilioni lakini kabla yajaolewa akaanza kuomba michango aende kutibiwa ili aweze kushika mimba. Sasa kama hajaolewa na kukaa na mume anaanze kuomba misaada ya kutibiwa ili apate mimba?
Kwanini wasiolewe kwanza ndio wakae katika ndoa kisha wacheki kama wanaweza kudungwa mimba au laa kuliko kuruka ruka na kulalamika kuwa hawapati mimba wakati wao wenyewe hawatulii wamejaa majigambo kibao!