Mwanamke aweka sumu ukeni ili kumuua mumewe!

Mwanamke aweka sumu ukeni ili kumuua mumewe!

Huyu Mama mjanja sana alijua kuwa akiweka kwenye chakula mume wake anaweza kuja na mtu mwingine wakala wote, anaweza kumwambia mkewe akionje kwanza. Ushauri kwa wenye ndoa na wapenzi: MKEO AU MPENZI WAKO AKIKUKARIBISHA KWENYE MECHI, KAMA UNA MASHAKA TAFUTA MTU MWINGINE AANZE KABLA YAKO ILI UONE MATOKEO.

Hata ukitaka kumgonga mke wa mtu unatakiwa umchukue rafiki yako aanze game ili ukiona hawajagandana ndipo na wewe ule mzigo.
 
Bahati nzuri mimi huwa sifanyagi vitu hivi kinyume na maumbile hivyo niko salama kama hata akiweka!
 
117.jpg


Ilisemwa ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Huko nchini Brazil mwanamke mmoja ambaye alikuwa amemchoka mumewe na hivyo kutaka kuachana naye aliamua kufanya jambo moja baya sana ambalo si kwamba lingemdhuru mumewe tu, bali pia lingemdhuru hata yeye mwenyewe na pengine hata kupoteza maisha wote wawili.

Mwamamke huyo badala ya kuomba talaka au hata kujiondoa katika ndoa hiyo ambayo kwake aliiona haina maana aliamua kumuwekea sumu mumewe aliyekuwa na umri wa miaka 43.

Lakini hakuweka sumu hiyo katika chakula, na badala yake akaweka sumu hiyo katika uke wake, na kisha kumshawishi mumewe kufanya naye mapenzi lakini alimuomba aende chumvini, (Kulamba uke) (Oral Sex) mahali ambapo ndipo alipoweka sumu hiyo.

Mumewe bila kujua alizama chumvini, lakini alishtushwa na harufu kali ya kemikali asiyoijua ikitokea kunako uke wa mkewe na hapo ndipo mchezo mzima uliposhtukiwa.

Kuona hivyo mumewe alimshauri ampeleke huyo mkewe hospitali akijua amepata tatizo katika uke wake. Mkewe alikubali na baada ya kumfikisha katika Hospitali iliyoko katika mji huo wa San Jose do Rito Preto, alifanyiwa vipimo na madakatari.

Madakatari hao waligundua kwamba mwanamke huyo aliweka sumu kwenye uke wake ili kumuua mumewe na yeye pia. Mwanamke huyo alikiri kufanya jambo hilo kwa makusudi kabisa. Alipatiwa matibabu na kisha kuruhusiwa kurudi nyumbani.

Hata hivyo mumewe amedai atamshitaki huyo mkewe kwa jaribio la kutaka kumuua.

Duh, nimeishiwa na maneno kwa kweli.

Najua mtaniuliza chanzo, hebu fungueni hapa chini:

Vagina 'Murder Plot': Brazilian Man Accuses Wife Of Poisoning Her Private Parts To Kill Him


CC: Paloma, amu, marejesho, Preta, MwanajamiiOne, Husninyo, Kaunga, BADILI TABIA, nyumba kubwa, Kipipi, Smile, Asnam, King'asti, Jeska, Zinduna, cacico, Jiwe Linaloishi, KakaKiiza, kipaji halisi, Bujibuji, MadameX, Madame B, Mwita Maranya, watu8, Arushaone, Filipo, kitalolo, Mungi, Don Mangi, Kaizer, Liverpool, lara 1, mwaJ, nivea, Lisa, snowhite, SnowBall, jouneGwalu, Ruttashobolwa, Kiranga

Ngoja niwahi SUA nikanunue wale panya wataalamu wa kugundua mabomu....nimeanza kuhisi dalili za kutegewa bomu kunako eneo la tukio...bye for now...
 
Last edited by a moderator:
Hii imachanganyia na ukichaa ndani yake. inabidi wanandoa wapewe vifaa vya kupimia akili wazitumie manyumani kwao ili kuepusha kadhia zinazojitokeza ndani ya ndoa
 
Mnaokwenda chumvini, kazi kwenu. Vaeni ndomu mdomoni muwe salama. Vinginevyo chukueni tahadhari

Kwani hawezi kuweka mdomoni ukimla denda tu tayari, siyo lazima chumvini.............................!:becky:
 
kweli maajabu hayataisha ulimwenguni hapa...ina maana UKE pia unaweza kutumiwa kama BIOLOGICAL WEAPON sio!!!
 
Haya makubwaaaaaaaaaaa!!, sijawahi sikia, kweli ukishanga ya Mtambuzi utayaona ya Asprin, Loh!
 
Mkuu, mzizi wa habari hii ni NIA YA UUAJI(KUSUDIO), na wala si NAMNA YA UUAJI....we pengine huwa hulambi N'YA, lakini unalamba sana RESTAURANT YA MTOTO, sasa ndio utawekewa hapohapo ukauke ka SANAMU LA ASKARI WA SAMORA AVENUE!!

Bahati nzuri mimi huwa sifanyagi vitu hivi kinyume na maumbile hivyo niko salama kama hata akiweka!
 
He he Mtambuzi huyo mwanaume kajidai kuficha lakini nimeona lol
 
Last edited by a moderator:
Baba V alkuwa wap mda wote hadi mtu anategewa kyumu? Kwa nn asvunje hyo ndoa mapema?
 
Last edited by a moderator:
Naomba nimpongeze jamaa kwa kugundua harufu ya kemikali, taabu ni uswahilini papuchi nyingine zina harufu tofauti tofauti kiasi kwamba unashindwa kutambua ni tindikali imewekwa au ndo harufu yake per se?...am jus sayin'
 
Ningekuwa mimi baada kupata hiyo bad smell, ningepush it in, then out, halafu ningemwambia ainyonye, ningemgundua hata kabla ya kumpeleka hospitali!! Ubunifu ni ubunifu tu hata ukiwa wa kipumbafu!?
 
Mkuu, mzizi wa habari hii ni NIA YA UUAJI(KUSUDIO), na wala si NAMNA YA UUAJI....we pengine huwa hulambi N'YA, lakini unalamba sana RESTAURANT YA MTOTO, sasa ndio utawekewa hapohapo ukauke ka SANAMU LA ASKARI WA SAMORA AVENUE!!
Nasemea kwa mbinu ya huyu mama hatonipata sijapinga hile ya kunako dining mkuu!
 
Back
Top Bottom