Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 17,099
- 55,060
Nimekutania bana mamiiWe mgeni au sio
019 ni mgeni🤣🤣🤣
Nimekutania bana mamiiWe mgeni au sio
019 ni mgeni🤣🤣🤣
Duh ningeona ningeshanenepa 🤣Nashangaa hujajibu mapigo juzi au majuzi haujaona notification yoyote? Halafu umekausha tu 😄😄😄
Fungua chap huyo ndio chaguo lako utajutia sana kutokumpata mapema. All the bestAu sio
Ngoja nifungue pm😄😄
Sahihi ila kwa wenye waume zaoMwambie akufungulie biashara maisha ya Sasa ni lazima wote mtafute
Au siondo ukweli huo mamy 😊 hapa nilipo nina furaha isiyo na kifani
Unforgettable Sunday to me
Unajisifia kabisaAu sio 🤣
Kwahiyo unategemea awe anakubali? Mimi nilifumwa na text whatsapp nikauninstall whatsapp. Nili unistall whatsapp kwasababu sikuwa najua ni nani na nilikataa katu katu maana ushahidi haukuwepo tena
Asante sana mamyAu sio
Karibu sana
HahaaNimekutania bana mamii
Ke chuma ulete aina hii ndiyo wengi 999% kwa 1% kwa zama hizi.Mkuu kuna pisi niliibwaga mwezivwa 6 aisee ile pisi ni zaidi ya kausha damu. Sikuwa naizingatia sana kwa sababu ni mpango wa kando ila ni zaidi ya jini. Haridhiki, hatosheki ukimpa 50K anataka laki ukimpa laki hakosi sababu ya kutaka zaidi. Na aibu hana kuna siku nilimwambia unatoka kumpa 50K ya kutumia alafu baada ya dakika chache anakuomba ya vocha. Nilivyompotezea alikuwa anapiga simu kama kaibiwa na kuomba misamaha daily.
Kashakua chaguo langu mara hii🤣🤣Fungua chap huyo ndio chaguo lako utajutia sana kutokumpata mapema. All the best
Yani wewe ni kama huyu haombi kuna siku nilimuuliza mbona huniombi hela. Akajibu sasa niombe yanini na unanipa siku usiponipa natumia akiba ya ulizowahi kunipa. Tunaishi maisha ya kawaida na she is very happy. Sio wengine kila siku wanataka kula kukuTegemezi wengi tu na wana mapenzi
Cha msingi mi hela sikuombi nitakufa na shida zangu usipotaka kunipa basi ...
Hahaa
Ila wanaume wasiochepuka wapo?Huyo mshkaji namkubali sana! Anajua namna ya kumhandle mwanamke.
Shukrani sana budaHuwa nafurahi sana pale mtu anapotimiza haja yake . Kila la heri Mkuu
Kanusha kama sio chaguo lakoKashakua chaguo langu mara hii🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Una ubavu wa Red black kahangaika miaka mingi within 1hr kaupata, mpe self golden chance maisha yàendelee, wawili ni bora kuliko mmoja ujue