Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 17,099
- 55,060
InshallahJazaka la kheiri mufti wangu!🫸🫷
InshallahJazaka la kheiri mufti wangu!🫸🫷
Naanza kuchoma ubani si muda.the way wewe ulivyo mi ntaridhia sina complications nying
🤣🤣🤣nacheka nilivyo umenionea wapi???the way wewe ulivyo mi ntaridhia sina complications nying
shukrani sana shehe wangu sitakuangusha kwenye hiliNaanza kuchoma ubani si muda.
Kumbe una vituko🤣🤣Naanza kuchoma ubani si muda.
Acha kutia ugumu basi.🤣🤣🤣nacheka nilivyo umenionea wapi???
Lazima nawe uwe unaeleweka ili akuelewe. Ukimpata anaekupenda atakuwa anakupa tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mungu atusaidie wanawake tusio na pesa
Atusaidie pia wale ambao kuomba ni kipengele, tupate wataoelewa tuna mahitaji sio mpk tuombe
Usimtumainie mwanaume....kaza buti tafuta hela yako mwenyewe mwanamke ujienjoy na kuwatumia wanaume kama chombo cha starehe🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mungu atusaidie wanawake tusio na pesa
Atusaidie pia wale ambao kuomba ni kipengele, tupate wataoelewa tuna mahitaji sio mpk tuombe
let us make it 😁🤣🤣🤣nacheka nilivyo umenionea wapi???
Kwahiyo baba umeamua uingilie kati🤣Acha kutia ugumu basi.
SawaLazima nawe uwe unaeleweka ili akuelewe. Ukimpata anaekupenda atakuwa anakupa tu
Nitafanyaje sasa?Nimechoka kukuona unafagia sebuleni kwangu siku hizi.Uende kwako sasa.Kwahiyo baba umeamua uingilie kati🤣
Mkuu kuna pisi niliibwaga mwezivwa 6 aisee ile pisi ni zaidi ya kausha damu. Sikuwa naizingatia sana kwa sababu ni mpango wa kando ila ni zaidi ya jini. Haridhiki, hatosheki ukimpa 50K anataka laki ukimpa laki hakosi sababu ya kutaka zaidi. Na aibu hana kuna siku nilimwambia unatoka kumpa 50K ya kutumia alafu baada ya dakika chache anakuomba ya vocha. Nilivyompotezea alikuwa anapiga simu kama kaibiwa na kuomba misamaha daily.Kuna demu nilidate nae ni liability
kila akiomba ela namwambia sina au nampa kidogo baada ya muda akakimbia nikafurahi sana ....
Na ilikua Bado kidg nianze kumshirikisha mambo yangu ya kiuchumi dah
KhaaaUsimtumainie mwanaume....kaza buti tafuta hela yako mwenyewe mwanamke ujienjoy na kuwatumia wanaume kama chombo cha starehe
Asante shehe wangu maneno ya kheri kabisa hayo...sio aende kwake sema aje kwangu😁Nitafanyaje sasa?Nimechoka kukuona unafagia sebuleni kwangu siku hizi.Uende kwako sasa.
Says who?let us make it 😁
najua we mwanamke wa haja
Wazee wa bikra watakuja kukushambulia japo ulichosema ni kweli kabisa.Ukimpata mwanamke ambaye ni assets amini nakwambia hata siku zako za kuishi duniani zitaongezeka
NB: mwanamke assets siyo lazima awe bikra, inatokea tu pale mmekutana kwa wakati sahihi na muda sahihi na ni fungu lako, ni destiny imewakutanisha
Kwa hiyo umekoma au utarudia tena?Mkuu kuna pisi niliibwaga mwezivwa 6 aisee ile pisi ni zaidi ya kausha damu. Sikuwa naizingatia sana kwa sababu ni mpango wa kando ila ni zaidi ya jini. Haridhiki, hatosheki ukimpa 50K anataka laki ukimpa laki hakosi sababu ya kutaka zaidi. Na aibu hana kuna siku nilimwambia unatoka kumpa 50K ya kutumia alafu baada ya dakika chache anakuomba ya vocha. Nilivyompotezea alikuwa anapiga simu kama kaibiwa na kuomba misamaha daily.