Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Kiukweli jmn kuomba hela ni kazi asikwambue mtu!nje ya mzazi, kaka, dada ni kipengele...

Napenda mtu yeye aelewe mi ni mwanamke nina matumizi yale ya kawaida tu, anipe yeye mwenyewe sio mpk nimuombe jmn!
Kwanza nikipewa bila kuomba nafurahi najua kuna mtu ananifikiria.

Yaani niombe pale ambapo ss sina namna nimekwama kabisa..
Muwe na vyanzo vya kipato, dunia ya sasa kuomba au kutegemea kupewa ni kujidhalilisha. Mtu akupe kama bonus ila isiwe hata vocha ya 5k tu mtu unahaha.

Mume ana wajibu ila mpenzi hapana, msijishushe sana, vanyeni kazi ni zama za kibepari.
 
dah,
wanawake wengine ni vichomi sana just imagine demu kama huyo umshikirike plan za kiuchumi
Yule alikuwa anajua napata hela ila hajawahi kujua ni kwa kiasi gani. Nilivyombwaga alituma hadi marafiki zake kuokoa jahazi lakini wapi. Sina bahati ya kukutana na wapiga vizinga ila huyu ni moto wa kuotea mbali ila ni pisi kweli ni kazuri kila idara shida ni akili tu hamna anawaza kuvaa kupendeza
 
Back
Top Bottom