ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 20,458
- 75,068
Sijui nilishindaje, subiri nitauliza.Nitatulia niuandae niulete.
Ulishindaje?
Sijui nilishindaje, subiri nitauliza.Nitatulia niuandae niulete.
Ulishindaje?
Unadhani hatuna ndugu?tunajishughulishaMuwe na vyanzo vya kipato, dunia ya sasa kuomba au kutegemea kupewa ni kujidhalilisha. Mtu akupe kama bonus ila isiwe hata vocha ya 5k tu mtu unahaha.
Mume ana wajibu ila mpenzi hapana, msijishushe sana, vanyeni kazi ni zama za kibepari.
Kubabake 🤣Yule alikuwa anajua napata hela ila hajawahi kujua ni kwa kiasi gani. Nilivyombwaga alituma hadi marafiki zake kuokoa jahazi lakini wapi. Sina bahati ya kukutana na wapiga vizinga ila huyu ni moto wa kuotea mbali ila ni pisi kweli ni kazuri kila idara shida ni akili tu hamna anawaza kuvaa kupendeza
aahUsiku wa manane wenyewe nipo busy mkuu hizi hela zitatumaliza
pegea yeso makofee!🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mungu atusaidie wanawake tusio na pesa
Atusaidie pia wale ambao kuomba ni kipengele, tupate wataoelewa tuna mahitaji sio mpk tuombe
Ss mi sio wa allah 🤣🤣nitashindwaAllah anifanyie wepesi kwenye hili😁
Moisemusajiografii nashukuru sana kwa wema wako inshallah ntamfanyia kila lililo jema huyu mrembo wangu kwa sasa Christine_1 nakupenda sana☺️
Nnajitahidi nitulie zaidi japo kwa sasa ndio vishawishi vimeongezeka.Umetulia kwa mda, ukishaoa gari itaingia tena barabarani, sema sio sheria!
Acha zako bsSs mi sio wa allah 🤣🤣nitashindwa
Hakuna mtu hapendi pesaJambo la heri kumbe upendagi pesa?
Uulize wapi na wewe ndio mhusika?Sijui nilishindaje, subiri nitauliza.
Labda we mgeni humuAcha zako bs
Kama unaongeza thamani kwenye maisha yake hutaomba, atakupa tu. Ila kama ni liability kama mleta mada anavyosema utaomba sana.Unadhani hatuna ndugu?tunajishughulisha
Ila point ni kuwa kwann niombe? Mtu ajue wajibu wake sio nimuombe
Na asipokupa u feel safe right?Hakuna mtu hapendi pesa
Ila sipendi kuomba!
Napenda mtu anipe mwenyewe
🤣🤣🤣🤣noma sana,
mimi alikua ananiamsha asubuhi na call au msg baada ya hapo inafata mizinga aah nikawa nampa kidg au sometimes namwambia sina anakasirika kubwa kuliko alitaka nimununulie simu ya 700k nikakwambia sina hela ukatokea ugomvi nikakwambia wewe kwenye hio lak 7 unashingp nikuongezee anasema hana nikampiga swaga hilo tukalipotezea sikununua..
Tho alivyokimbia nilifurahi sana.
Nimuulize mwanaume.Uulize wapi na wewe ndio mhusika?
Hakika mim mgeni humu nimejiunga mwezi uliopitaLabda we mgeni humu
Huoni huwa wananiita mtumishi🤣🤣🤣
Ukawa mke halali ?Nimuulize mwanaume.
Yeye ndiye alinichagua mshindi.
unacheka eh🤣🤣🤣🤣
Ukiweza ni poa sana, stress za micheps zitakaa mbali, ila ukishindwa karibu upambane na micheps maana wenyewe wanajua nafasi zao vizuri sana.Nnajitahidi nitulie zaidi japo kwa sasa ndio vishawishi vimeongezeka.