Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mkuu kuna pisi niliibwaga mwezivwa 6 aisee ile pisi ni zaidi ya kausha damu. Sikuwa naizingatia sana kwa sababu ni mpango wa kando ila ni zaidi ya jini. Haridhiki, hatosheki ukimpa 50K anataka laki ukimpa laki hakosi sababu ya kutaka zaidi. Na aibu hana kuna siku nilimwambia unatoka kumpa 50K ya kutumia alafu baada ya dakika chache anakuomba ya vocha. Nilivyompotezea alikuwa anapiga simu kama kaibiwa na kuomba misamaha daily.
Yaani ulikua na main na side chick halafu side chick ndiye kausha damu?

Kwanini ulitafuta side chick?
 
Mkuu kuna pisi niliibwaga mwezivwa 6 aisee ile pisi ni zaidi ya kausha damu. Sikuwa naizingatia sana kwa sababu ni mpango wa kando ila ni zaidi ya jini. Haridhiki, hatosheki ukimpa 50K anataka laki ukimpa laki hakosi sababu ya kutaka zaidi. Na aibu hana kuna siku nilimwambia unatoka kumpa 50K ya kutumia alafu baada ya dakika chache anakuomba ya vocha. Nilivyompotezea alikuwa anapiga simu kama kaibiwa na kuomba misamaha daily.
noma sana,

mimi alikua ananiamsha asubuhi na call au msg baada ya hapo inafata mizinga aah nikawa nampa kidg au sometimes namwambia sina anakasirika kubwa kuliko alitaka nimununulie simu ya 700k nikakwambia sina hela ukatokea ugomvi nikakwambia wewe kwenye hio lak 7 unashingp nikuongezee anasema hana nikampiga swaga hilo tukalipotezea sikununua..

Tho alivyokimbia nilifurahi sana.
 
Yaani ulikua na main na side chick halafu side chick ndiye kausha damu?

Kwanini ulitafuta side chick?
Sijaoa mkuu nae nilikuwa nimemuweka kwenye wish list ila baadae nikaona hanifai kabisa.

Kuna siku ntaleta uzi wa wish list yangu muone visa na visanga kwa sasa nimeshaselect 1 naeona ni sahihi nimetulia
 
noma sana,

mimi alikua ananiasha asubuhi na call au msg baada ya hapo inafata mizinga aah nikawa nampa kidg au sometimes namwambia sina anakasirika kubwa kuliko alitaka nimununulie simu ya 700k nikakwambia sina hela ukatokea ugomvi nikakwambia wewe kwenye hio lak 7 unashingp nikuongezee anasema hana nikampiga swaga hilo tukalipotezea sikununua..

Tho alivyokimbia nilifurahi sana.
Huyo alitaka 600K
Akashuka hadi 200K
Then 50K nikaona huyu kuna namna ananiona ngoja nimpotezee
 
Back
Top Bottom