Kuna mdau alisema dengue itabadilisha uvaaji, mini skirts na vitop vitakua likizo.
Ni wachache ila wapo. Sisi wengi hatupendi wapenz wetu waonyeshe nyuchi zao kweli. Ndo maana ukiangalia walio ktk mahusiano yanayoelweka kidogo wanakuwa na uvaaji wa kistaarabu kidogo. Sawa suala zima ni tabia ya mtu bt kubali ukatae uvaaji wa wadada wengi ni baada ya kusifiwa hasa mwanaume.Haipp sawa mm nimekuulza kama huwa tunafuata maelezo yenu hiyo ni tabia ya mtu sidhani kama kuna wanaume mnapenda wanawake zenu waonyeshe mali zenu nje mm binafsi najitambua wasijitambua niwachache sana
Sishabikii kuvaa kihasarahasara. Nadhani hali ya kuwa na mvuto kwa warembo wa kike ni sehemu ya maisha yao na ni haki yao kulingana na maumbile yao...Ni matumaini yangu kuwa
nyote mnaendelea kupumua.Kuna dhana imejengeka sana miongoni mwa jamii
zetu nyingi. Dhana yenyewe ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana katika
nyanja mbalimbali za maisha. Kutokana na huu mtazamo, wengi wanaamini
kuwa ni vigumu sana kwa mwanamke kufanya maamuzi ya aina yoyote ktk
maisha ya kila siku.Tuje kwa upande wa mavazi hasa kwa wadada zetu ambao
wengi hudiriki hata kutembea nusu uchi wakidai ni fashion. swali
linakuja, kwamba; wanavovaa vile ni maamuzi yao au kuna mtu/watu wenye
maamuzi aghalabu wanaume wanaowasababisha au kupenda wao wavae vile??
Tupe mtazamo wako.Naweka mjadala mezani.
Kwani mvuto lazima avae viungo vya kubana au vimini? Au wewe unampenda wa kwako kisa mavazi?sasa mtawachaguaje wasipotega kidogo, kha! hata kama ningekua mimi kwa sababu sitongozi ila natongozwa. labda kama umeolewa, hata ukiolewa you need to show kwamba na ww umo. Nyi pigeni fasheni. Kipaja kwa mbali ila kisizidi, kimini ila kisiwe kifupi sana. Kigauni kinatoa shepu safiiiiii, ila kisibane mnooo. sio mbaya. that is nature. kwani huyo aliyotoa mada kama ana demu au mke anafikiri bila mvuto angemchagua?
Ni matumaini yangu kuwa nyote mnaendelea kupumua.Kuna dhana imejengeka sana miongoni mwa jamii zetu nyingi. Dhana yenyewe ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana katika nyanja mbalimbali za maisha. Kutokana na huu mtazamo, wengi wanaamini kuwa ni vigumu sana kwa mwanamke kufanya maamuzi ya aina yoyote ktk maisha ya kila siku.Tuje kwa upande wa mavazi hasa kwa wadada zetu ambao wengi hudiriki hata kutembea nusu uchi wakidai ni fashion. swali linakuja, kwamba; wanavovaa vile ni maamuzi yao au kuna mtu/watu wenye maamuzi aghalabu wanaume wanaowasababisha au kupenda wao wavae vile?? Tupe mtazamo wako.Naweka mjadala mezani.
Ukibakwa! Hahahahaha.
Ni matumaini yangu kuwa nyote mnaendelea kupumua.Kuna dhana imejengeka sana miongoni mwa jamii zetu nyingi. Dhana yenyewe ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana katika nyanja mbalimbali za maisha. Kutokana na huu mtazamo, wengi wanaamini kuwa ni vigumu sana kwa mwanamke kufanya maamuzi ya aina yoyote ktk maisha ya kila siku.Tuje kwa upande wa mavazi hasa kwa wadada zetu ambao wengi hudiriki hata kutembea nusu uchi wakidai ni fashion. swali linakuja, kwamba; wanavovaa vile ni maamuzi yao au kuna mtu/watu wenye maamuzi aghalabu wanaume wanaowasababisha au kupenda wao wavae vile?? Tupe mtazamo wako.Naweka mjadala mezani.