Mwanamke anavyovaa ni kwa influence ya nani?

Mwanamke anavyovaa ni kwa influence ya nani?

Monasha

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
563
Reaction score
423
Ni matumaini yangu kuwa nyote mnaendelea kupumua.Kuna dhana imejengeka sana miongoni mwa jamii zetu nyingi.

Dhana yenyewe ni kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu sana katika nyanja mbalimbali za maisha.

Kutokana na huu mtazamo, wengi wanaamini kuwa ni vigumu sana kwa mwanamke kufanya maamuzi ya aina yoyote katika maisha ya kila siku.

Tuje kwa upande wa mavazi hasa kwa wadada zetu ambao wengi hudiriki hata kutembea nusu uchi wakidai ni fashion.

swali linakuja, kwamba; wanavovaa vile ni maamuzi yao au kuna mtu/watu wenye maamuzi aghalabu wanaume wanaowasababisha au kupenda wao wavae vile?

Tupe mtazamo wako.

Naweka mjadala mezani.
 
inategemea na mazingira yanaweza kumbadilisha mwanamke avae vipi kuendana nayo
 
inategemea na mazingira yanaweza kumbadilisha mwanamke avae vipi kuendana nayo
so unamaanisha wanavaa kulingana na influence ya watu wengne siyo watakavo wao. Kiruuu!
 
Hiyo dhana yako ambayo bado unayo eti mwanamke ni dhaifu sidhani kama ipo kwa mazingira ya sasa hivi
 
Hiyo dhana yako ambayo bado unayo eti mwanamke ni dhaifu sidhani kama ipo kwa mazingira ya sasa hivi
Siyo kwamba mi ninayo. Ipo. Nenda tembea kijijini na hata mjini uone. Mwanamke mambo mengi hafanyi kwa maamuzi yake mwenyewe.
 
Mtu anavaa kwa jinsi anavyopenda.Malezi na maadili aliyolelewa nayo pia yanachangia kwenye mavazi anayochagua aidha ya kujistiri au la.Wengi wanaovaa nusu uchi wanavaa kwasababu fulani amevaa na amependeza,kupenda kuiga mila na utamaduni wa magharibi unatuathiri sana!
Mwanaume pia anachangia jinsi mwenza wake atakavyovaa na vice versa mfano ukishaolewa maanake unamilikiwa na mtu unapaswa kulinda heshima yako na ya mumeo.Ukiabika wewe na upande wa pili utadhurika yaani unajiwakilisha ww na mumeo popote uendako!kwa ujumla maisha tunayoishi yanaathiri sana mavazi na mienendo yetu kwasababu hatuishi maisha ya uhalisia wetu!
 
so unamaanisha wanavaa kulingana na influence ya watu wengne siyo watakavo wao. Kiruuu!

yap influence inachangia sana na kumbuka ndege wafanano huruka pamoja so ukijikuta katika mazingira ambayo uko tofauti either ubadilike vinginevyo hutaweza kuambatana nao
 
Mtu anavaa kwa jinsi anavyopenda.Malezi na maadili aliyolelewa nayo pia yanachangia kwenye mavazi anayochagua aidha ya kujistiri au la.Wengi wanaovaa nusu uchi wanavaa kwasababu fulani amevaa na amependeza,kupenda kuiga mila na utamaduni wa magharibi unatuathiri sana!Mwanaume pia anachangia jinsi mwenza wake atakavyovaa na vice versa mfano ukishaolewa maanake unamilikiwa na mtu unapaswa kulinda heshima yako na ya mumeo.Ukiabika wewe na upande wa pili utadhurika yaani unajiwakilisha ww na mumeo popote uendako!kwa ujumla maisha tunayoishi yanaathiri sana mavazi na mienendo yetu kwasababu hatuishi maisha ya uhalisia wetu!
Hivi kiukweli ukivaa nusu uchi utapendeza? May be sina interest na uvaaji huo ndo maana naona kama mtu anakosea. I agree with u to say a person wear the way he/she likes. Bt do you thnk kwamba kama jamii inayokuzunguka au mazingira wangekuwa hawapendi style hyo utavaa kwa sabbu unataka?. What if you bf dnt like that style, will u stl dare to go on it?
 
yap influence inachangia sana na kumbuka ndege wafanano huruka pamoja so ukijikuta katika mazingira ambayo uko tofauti either ubadilike vinginevyo hutaweza kuambatana nao

Katika kitu ambacho Mungu kanisaidia kukiepuka na influence ya mtu yani always huwa nabaki kwenye msimamo wangu
 
Katika kitu ambacho Mungu kanisaidia kukiepuka na influence ya mtu yani always huwa nabaki kwenye msimamo wangu

even me too but kuna mazingira yanayoweza kumbadilisha mtu kilazima mfano binti alietoka bush kuja kusoma dar chuo lazima atabadilika kimavazi
 
zakayoolle Mijadala ya mavazi ni migumu ndugu. Wavaaji wana akili za kuigaiga uzungu.Wanavaa ili kutafuta attention na appreciation.Dah "dada huyu mkali" hapo kapiga nguo zenye kubana au kuacha wazi sehemu za matamanio. kiukweli acha tuseme KUWA MWANAUME NI BAHATI YA KUZALIWA!
 
Humu mmu bana kila mtu msafi, ana msimamo, anajua mambo...basi huko bongo wanawake wote ni malaika eehe
 
makahaba tu
Mkuu mm ni mfuatiliaji mzuri sana wa mambo yaani nafuatilia hapa naona.. Yaani watu wanajidai so inocent..utadhani bongo huko kuna malaika..sasa hao wanaovaa nusu uchi posta hapo na kuzungusha macho hukuna kule wanatoka wapi..
 
Hiyo dhana yako ambayo bado unayo eti mwanamke ni dhaifu sidhani kama ipo kwa mazingira ya sasa hivi

Hata mkikataa kwa mabango na maandamano,bado ukweli utaendelea kusimama daima....MWANAMKE NI DHAIFU.
 
Mkuu mm ni mfuatiliaji mzuri sana wa mambo yaani nafuatilia hapa naona.. Yaani watu wanajidai so inocent..utadhani bongo huko kuna malaika..sasa hao wanaovaa nusu uchi posta hapo na kuzungusha macho hukuna kule wanatoka wapi..

Ndvyo tulivo Watz,kwenye keypad ni wanaharakati,inocent,wenye kudhubutu,wenye nidhamu,na tusioyumbishwa wala kushawishiwa kirahis,LAKINI KWENYE MAISHA HALISI NI TOFAUTI
 
Back
Top Bottom