Hiyo dhana yako ambayo bado unayo eti mwanamke ni dhaifu sidhani kama ipo kwa mazingira ya sasa hivi
mwanamke bado dhaifu kwani hawajiaminia mpaka wavae nguo fupi ndo wanaamini watapendwa......!!
Hiyo dhana yako ambayo bado unayo eti mwanamke ni dhaifu sidhani kama ipo kwa mazingira ya sasa hivi
Nimekupata na pia nakubaliana na wewe.tunakataa tu lakini ni ukweli ulio wazi kuwa asilimia kubwa ya wanawake mavazi yetu yanakuwa influenced na wanaume, either kwa kutaka attention yao au kwa kumuheshimu yule uliye nae iwapo anapenda uvae mavazi ya aina fulani e.g baibui
tunakataa tu lakini ni ukweli ulio wazi kuwa asilimia kubwa ya wanawake mavazi yetu yanakuwa influenced na wanaume, either kwa kutaka attention yao au kwa kumuheshimu yule uliye nae iwapo anapenda uvae mavazi ya aina fulani e.g baibui
Nifafanunulie wewe.
Ukimwambia vaa hv as her boyfrnd au husbnd anavaa. That is an influence.True. Wanawake wengi wanavaa kwa influence ya wanaume. Wanapenda kuvaa kiutata kwa ajili ya kuwakoga wanaume na kusifiwa. Ndio maana utaona kuta nyingi za kitabuuso za wanawake huchafuka kwa picha kila siku. Lakini pia hufanya hivyo kwa tabia zao dhaifu za kupenda kuigana mitindo. Ikitokea mwanamke kavaa nusu uchi akasifiwa na wanaume wakware, utakuta kesho wanawake wengine 10 wamemuiga. Hii yote ni kwa sababu zaidi ya 90% ya wanawake wana akili za kushikiwa. Bila ya kuendeshwa kwa REMOTE hawaendi kabisa.
Siku ukijiskia kuvaa dhera chukuchuku una vaa
MODA wenyewe hawaonekaani
tutaonaje wakiwa uchi
Ukimwambia vaa hv as her boyfrnd au husbnd anavaa. That is an influence.
kwanza kabisa sio wanawake wote ambao wana akili za kushikiwa hiyo ni kwa baadhi tusi hivyo tu hata kule kusifiwa na mtu yeyote kwamba 'UNAPENDEZA' ni influence. Na kwa kuwa akili zao ni za kushikiwa, wakishasifiwa hata kwa jambo la kipumbavu, basi huvimba vichwa.
kwanza kabisa si wanawake wote ambao akili zao ni za kushikiwasi hivyo tu hata kule kusifiwa na mtu yeyote kwamba 'UNAPENDEZA' ni influence. Na kwa kuwa akili zao ni za kushikiwa, wakishasifiwa hata kwa jambo la kipumbavu, basi huvimba vichwa.
Hata mkikataa kwa mabango na maandamano,bado ukweli utaendelea kusimama daima....MWANAMKE NI DHAIFU.
Mwanaume ni dhaifu sana kwani mwanamke anaweza kukufanya ukasahau kila kitu hapa duniani