alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 280
Hapo mwisho kwenye red: Kwamba Eva alikula kwanza, then akampa Adam nae akala:
My take: Eva alifanywa kwanza, then baada ya kuexperience Ile ladha ndio akampa na adam. Hii ina manisha Eva alifanya kwanza na mtu mwingine sio Adam. Na Huyo mwingine ni Huyo nyoka, which is Lucifer. Kwa hiyo mwanamke ni msaliti wa enzi. Na ndivyo walivyo hata leo. No matter what
Kwani tunda linalosemwa ni K au ni fruits
Hapo mwisho kwenye red: Kwamba Eva alikula kwanza, then akampa Adam nae akala:
My take: Eva alifanywa kwanza, then baada ya kuexperience Ile ladha ndio akampa na adam. Hii ina manisha Eva alifanya kwanza na mtu mwingine sio Adam. Na Huyo mwingine ni Huyo nyoka, which is Lucifer. Kwa hiyo mwanamke ni msaliti wa enzi. Na ndivyo walivyo hata leo. No matter what
Kwa hivyo nyoka(nyoka) alilionja akampatia na mwanamke??
Sijui macho yangu yana makengeza!!!! nahisi nasoma kitu kipya kabisa...
CC: cacico, Lisa, Nivea, BADILI TABIA, King'ast, Karucee, miss chagga, miss wa kinyaru, Ennie, gfsonwin, Preta, MwanajamiiOne, Husninyo, Mamndenyi, lara 1
Basi ngoja niwaite na akina charminglady, Kaunga, Arabela, snowhite Lady doctor, ladyfurahia, Fixed Point na KongoshoNaona unawaita wambea wenzio waje wanishushue. Hahah bahati mbaya hao wote matunda yao yameshaliwa.
Una Hisi unasoma kitu kipya, basi sema ww hilo Tunda linalozungumzwa ni lipi. Kama ni papai au ndizi.
Na anaposema Hawa alikula kwanza then akamshawishi na adam ale ina maanisha nini.
swala ambalo linaniwia vigumu sasa ni hili.
kama malaika anaweza kujidhihirisha na kuonekana kwa wanadamu, kwanini shetani yeye hajidhirishi? kwanini aje kwa maumbo ya vitu vingine kama mizimu na viumbe vingine kama nyoka?
Basi ngoja niwaite na akina charminglady, Kaunga, Arabela, snowhite Lady doctor, ladyfurahia, Fixed Point na Kongosho
Hivi hilo tunda ni lipi?ni kitu gani?
Mkuu wapo wanadamu waliomuona na wanaomuona shetani kama ilivyo kwa waliwaona na wanaowaona malaika.
Inategemea tu ni mamlaka ipi ambayo roho yako imejisalimisha.
Hiyo unayoita mizimu n.k ni roho vibaraka tu za shetani na wala sio shetani mwenyewe.
My take: Eva alifanywa kwanza, then baada ya kuexperience Ile ladha ndio akampa na adam. Hii ina manisha Eva alifanya kwanza na mtu mwingine sio Adam. Na Huyo mwingine ni Huyo nyoka, which is Lucifer. Kwa hiyo mwanamke ni msaliti wa enzi. Na ndivyo walivyo hata leo. No matter what
Wewe kweli leo umekunywa mbege haki ya mama
come on! what is simple now?
to see the devil or the Lord?