Mwanamke aliyetoa Mimba ana nuksi balaa

Mwanamke aliyetoa Mimba ana nuksi balaa

Ndio maana una stress kumbe huzalishi mpk unatafuta mwenye mimbaa yako umuoe

Pole sana yaani wanawake 8 na Hakuna aliewahi kukwambia anajisikia kichefuchefu 🤣🤣🤣🤣

Sorry for that unaonekana una stress kama sio huna uwezo wa kubebesha ujauzito basi wakipata mimba zako wanatoa

Suala la Abortion halihusianii na nuksi wewe…. Ingekuwa hivyo Hii dunia isingekuwa na watu wenye maendeleo asilimia 98% wanawake wengi wameshafanya abortion hata hizo P2 ni abortion kila njia unayotumia kuzuia watoto wasitungwe ni abortion
Mimba za ovyo ni za maskini na watu wasio na akili tu .

Ukitaka kujua mtu Ana akili angalia reproductive history yake . Wewe tu kwa hii comment ni kilaza 😂😂.
 
Hata wale wa chaputa na wao ni wauaji tu,
hivi umewahi kuwaza bao moja wanaua watoto wangapi?.
 
I will be short

ukitaka nuksi, tembea na mwanamke aliye toa mimba, yani amna kitu kitaenda, kama ni business kila siku mambo magumu, ukiajiliwa ndo kabisa, life utoboi

wanawake wengi walio toa mimba ndo wanaongoza kwa nuksi mjini,

Kama unabisha test zali, kama una demu ukipiga tu napata shida huliza story yake atakuwa history za mimba.

abortions ina deep ya fate mbaya.

mimi mwanamke aliye toa Mimba nikipiga, napata stress siku 3 na wengine nikiwa nao lazima shida zinipige, zakutosha
Hahaha
 
Mimi nimewai kudate na mwanamke tena nimemkuta Bikra akiwa chuo mwaka wa tatu,

Nilifanikiwa kuitoa Ile bikra, ila huwezi amini ndani ya mahusiano ya miaka miwili hakuna mafanikio yoyote ambayo nilipata.

Kila siku nilikuwa mtu wa kusolve matatizo Leo hiki kesho kile, sikutaka kumuacha kwasababu niliona Hana makosa na nimemkuta Bikra.

Balaa lilikuwa linakuja wakati tunaacha mambo yangu yananyooka ila nilirudiana nae tu changamoto haziishi.

Mara ya MWISHO namaliza kumgonga tu napokea simu babu Yako kafariki.

Nikiwa nae ndani gari nimepaki nje basi nikitoka nakuta kibaka kaiba site mirror au kavunja...

Sasa wakuu kumbe haya mambo yapo au ulikuwa mtazamo wangu tu?
Baba yake na huyu bint ni Askari polisi.
Hayo mambo ni kweli kuna wanawake wana nuksi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom