Mwanamke Akiwa Mjamzito Mambo na Mipango yote Huvurugika!

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Sitarajii tena kumpa mimba mwanamke wangu Rehema, akifanikiwa kujifungua salama mwezi wa 10 basi hawa ndio watakuwa watoto wangu wa mwisho na sitotarajia tena kupata watoto kwasababu ni kujifunga kwa mambo yangu!.

Kwanza kabisa nipende kumshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke mzuri wa sura na umbo, pili namshukuru Mungu kwa kunipatia watoto wawili ambao wako hai ukiacha huyo anayetarajiwa muda si mrefu, mimi UMUGHAKA nimebahatika kupata watoto wawili kwa mwanamke wangu Rehema ambaye nilimuelezea vizuri kwenye simulizi yangu ya
- Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mtoto wangu wa Kwanza niwa kiume na wa pili niwa kike,huyu mwingine tunayetarajia kumpata niwa kike pia baada ya kuthibitisha kutoka kwa wataalamu.

Kilichofanya kuandika hapa ni kwasababu kuna mambo siyaelewi,wakati mwanamke wangu amepata mimba ya mwanangu wa kwanza mambo yalikuwa hayaendi kabisa lakini kwasababu sikuwa na ili wala lile sikuelewa chochote, sasa kuna mama mmoja ni jirani yangu hapa ninapoishi nimejaribu kumshirikisha ndipo ni kama kanifungua macho ya kiroho na kimwili pia.

Mimi " Mama yaani mambo yamegoma kabisa,kila dili zinakataa na mipango pia haiendi kabisa"

Mama jirani " Shida ni nini mwanangu?"

Mimi "Mambo yamegoma kabisa Mama,sipati pesa kama miezi ya nyuma"

Mama Jirani "Wewe si mkeo mjamzito,sasa unategemea mambo yanyooke wakati una kikwazo kwenye tumbo la mkeo!"

Mimi " 👀"

Mama Jirani " Unashangaa!,ndo hivyo mambo yako yatanyooka baada ya mkeo kujifungua!"

Nilidhani yule mama anatania lakini nilipomuuliza maswali zaidi aliniambia nijaribu kurudisha akili nyuma kabla ya kupata watoto wangu,ndipo nikagundua ya kwamba wakati mke wangu mzuri Rehema ana mimba zote mbili kabla ya hii aliyonayo mambo pia yalikuwa magumu mno hadi alipokuwa anajifungua,kiukweli mimi sikuwahi kufahamu lolote kuhusu hii sayansi hadi mtu mzima huyu alipokuja kunifungua macho!.

Aisee nimekaa chini na kutafakari nimegundua ni kweli kabisa ya kwamba kila wakati mwanamke wangu anapobeba mimba huwa napitia wakati mgumu sana lakini akishajifungua mambo huwa tambarare kama kumsukuma mlevi.

Baada ya kuligundua hilo nimepanga kwasasa itakuwa mwendo wa mizagamuano tu na shemeji yenu lakini kupata mtoto ni NO KUBWA!.

Sitaki tena mateso ya kukaa miezi kadhaa mambo yangu yakiwa yame-staki!.

Hivi ndugu zangu na nyie huwa mnapitia hii hali?,au ni maneno tu ya wanadamu?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Sitarajii tena kumpa mimba mwanamke wangu Rehema, akifanikiwa kujifungua salama mwezi wa 10 basi hawa ndio watakuwa watoto wangu wa mwisho na sitotarajia tena kupata watoto kwasababu ni kujifunga kwa mambo yangu!.

Kwanza kabisa nipende kumshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke mzuri wa sura na umbo, pili namshukuru Mungu kwa kunipatia watoto wawili ambao wako hai ukiacha huyo anayetarajiwa muda si mrefu, mimi UMUGHAKA nimebahatika kupata watoto wawili kwa mwanamke wangu Rehema ambaye nilimuelezea vizuri kwenye simulizi yangu ya
- Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mtoto wangu wa Kwanza niwa kiume na wa pili niwa kike,huyu mwingine tunayetarajia kumpata niwa kike pia baada ya kuthibitisha kutoka kwa wataalamu.

Kilichofanya kuandika hapa ni kwasababu kuna mambo siyaelewi,wakati mwanamke wangu amepata mimba ya mwanangu wa kwanza mambo yalikuwa hayaendi kabisa lakini kwasababu sikuwa na ili wala lile sikuelewa chochote, sasa kuna mama mmoja ni jirani yangu hapa ninapoishi nimejaribu kumshirikisha ndipo ni kama kanifungua macho ya kiroho na kimwili pia.

Mimi " Mama yaani mambo yamegoma kabisa,kila dili zinakataa na mipango pia haiendi kabisa"

Mama jirani " Shida ni nini mwanangu?"

Mimi "Mambo yamegoma kabisa Mama,sipati pesa kama miezi ya nyuma"

Mama Jirani "Wewe si mkeo mjamzito,sasa unategemea mambo yanyooke wakati una kikwazo kwenye tumbo la mkeo!"

Mimi " 👀"

Mama Jirani " Unashangaa!,ndo hivyo mambo yako yatanyooka baada ya mkeo kujifungua!"

Nilidhani yule mama anatania lakini nilipomuuliza maswali zaidi aliniambia nijaribu kurudisha akili nyuma kabla ya kupata watoto wangu,ndipo nikagundua ya kwamba wakati mke wangu mzuri Rehema ana mimba zote mbili kabla ya hii aliyonayo mambo pia yalikuwa magumu mno hadi alipokuwa anajifungua,kiukweli mimi sikuwahi kufahamu lolote kuhusu hii sayansi hadi mtu mzima huyu alipokuja kunifungua macho!.

Aisee nimekaa chini na kutafakari nimegundua ni kweli kabisa ya kwamba kila wakati mwanamke wangu anapobeba mimba huwa napitia wakati mgumu sana lakini akishajifungua mambo huwa tambarare kama kumsukuma mlevi.

Baada ya kuligundua hilo nimepanga kwasasa itakuwa mwendo wa mizagamuano tu na shemeji yenu lakini kupata mtoto ni NO KUBWA!.

Sitaki tena mateso ya kukaa miezi kadhaa mambo yangu yakiwa yame-staki!.

Hivi ndugu zangu na nyie huwa mnapitia hii hali?,au ni maneno tu ya wanasamu?
Hiki kitu kina ukweli flani hivi, wakati wa ujauzito milango ya pesa hua imejifunga kiasi kwamba usipokuwa na roho ya uvumilivu unaweza kuikana mimba kama hamja funga ndoa.
Usione vijana wengi huwa wanakimbia na kuikana mimba hivi hivi ni kipindi kigumu Sana.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Sitarajii tena kumpa mimba mwanamke wangu Rehema, akifanikiwa kujifungua salama mwezi wa 10 basi hawa ndio watakuwa watoto wangu wa mwisho na sitotarajia tena kupata watoto kwasababu ni kujifunga kwa mambo yangu!.

Kwanza kabisa nipende kumshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke mzuri wa sura na umbo, pili namshukuru Mungu kwa kunipatia watoto wawili ambao wako hai ukiacha huyo anayetarajiwa muda si mrefu, mimi UMUGHAKA nimebahatika kupata watoto wawili kwa mwanamke wangu Rehema ambaye nilimuelezea vizuri kwenye simulizi yangu ya
- Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mtoto wangu wa Kwanza niwa kiume na wa pili niwa kike,huyu mwingine tunayetarajia kumpata niwa kike pia baada ya kuthibitisha kutoka kwa wataalamu.

Kilichofanya kuandika hapa ni kwasababu kuna mambo siyaelewi,wakati mwanamke wangu amepata mimba ya mwanangu wa kwanza mambo yalikuwa hayaendi kabisa lakini kwasababu sikuwa na ili wala lile sikuelewa chochote, sasa kuna mama mmoja ni jirani yangu hapa ninapoishi nimejaribu kumshirikisha ndipo ni kama kanifungua macho ya kiroho na kimwili pia.

Mimi " Mama yaani mambo yamegoma kabisa,kila dili zinakataa na mipango pia haiendi kabisa"

Mama jirani " Shida ni nini mwanangu?"

Mimi "Mambo yamegoma kabisa Mama,sipati pesa kama miezi ya nyuma"

Mama Jirani "Wewe si mkeo mjamzito,sasa unategemea mambo yanyooke wakati una kikwazo kwenye tumbo la mkeo!"

Mimi " 👀"

Mama Jirani " Unashangaa!,ndo hivyo mambo yako yatanyooka baada ya mkeo kujifungua!"

Nilidhani yule mama anatania lakini nilipomuuliza maswali zaidi aliniambia nijaribu kurudisha akili nyuma kabla ya kupata watoto wangu,ndipo nikagundua ya kwamba wakati mke wangu mzuri Rehema ana mimba zote mbili kabla ya hii aliyonayo mambo pia yalikuwa magumu mno hadi alipokuwa anajifungua,kiukweli mimi sikuwahi kufahamu lolote kuhusu hii sayansi hadi mtu mzima huyu alipokuja kunifungua macho!.

Aisee nimekaa chini na kutafakari nimegundua ni kweli kabisa ya kwamba kila wakati mwanamke wangu anapobeba mimba huwa napitia wakati mgumu sana lakini akishajifungua mambo huwa tambarare kama kumsukuma mlevi.

Baada ya kuligundua hilo nimepanga kwasasa itakuwa mwendo wa mizagamuano tu na shemeji yenu lakini kupata mtoto ni NO KUBWA!.

Sitaki tena mateso ya kukaa miezi kadhaa mambo yangu yakiwa yame-staki!.

Hivi ndugu zangu na nyie huwa mnapitia hii hali?,au ni maneno tu ya wanasamu?
Hii haina ukweli wowote ule.

Ni imani potofu.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Sitarajii tena kumpa mimba mwanamke wangu Rehema, akifanikiwa kujifungua salama mwezi wa 10 basi hawa ndio watakuwa watoto wangu wa mwisho na sitotarajia tena kupata watoto kwasababu ni kujifunga kwa mambo yangu!.

Kwanza kabisa nipende kumshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke mzuri wa sura na umbo, pili namshukuru Mungu kwa kunipatia watoto wawili ambao wako hai ukiacha huyo anayetarajiwa muda si mrefu, mimi UMUGHAKA nimebahatika kupata watoto wawili kwa mwanamke wangu Rehema ambaye nilimuelezea vizuri kwenye simulizi yangu ya
- Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mtoto wangu wa Kwanza niwa kiume na wa pili niwa kike,huyu mwingine tunayetarajia kumpata niwa kike pia baada ya kuthibitisha kutoka kwa wataalamu.

Kilichofanya kuandika hapa ni kwasababu kuna mambo siyaelewi,wakati mwanamke wangu amepata mimba ya mwanangu wa kwanza mambo yalikuwa hayaendi kabisa lakini kwasababu sikuwa na ili wala lile sikuelewa chochote, sasa kuna mama mmoja ni jirani yangu hapa ninapoishi nimejaribu kumshirikisha ndipo ni kama kanifungua macho ya kiroho na kimwili pia.

Mimi " Mama yaani mambo yamegoma kabisa,kila dili zinakataa na mipango pia haiendi kabisa"

Mama jirani " Shida ni nini mwanangu?"

Mimi "Mambo yamegoma kabisa Mama,sipati pesa kama miezi ya nyuma"

Mama Jirani "Wewe si mkeo mjamzito,sasa unategemea mambo yanyooke wakati una kikwazo kwenye tumbo la mkeo!"

Mimi " 👀"

Mama Jirani " Unashangaa!,ndo hivyo mambo yako yatanyooka baada ya mkeo kujifungua!"

Nilidhani yule mama anatania lakini nilipomuuliza maswali zaidi aliniambia nijaribu kurudisha akili nyuma kabla ya kupata watoto wangu,ndipo nikagundua ya kwamba wakati mke wangu mzuri Rehema ana mimba zote mbili kabla ya hii aliyonayo mambo pia yalikuwa magumu mno hadi alipokuwa anajifungua,kiukweli mimi sikuwahi kufahamu lolote kuhusu hii sayansi hadi mtu mzima huyu alipokuja kunifungua macho!.

Aisee nimekaa chini na kutafakari nimegundua ni kweli kabisa ya kwamba kila wakati mwanamke wangu anapobeba mimba huwa napitia wakati mgumu sana lakini akishajifungua mambo huwa tambarare kama kumsukuma mlevi.

Baada ya kuligundua hilo nimepanga kwasasa itakuwa mwendo wa mizagamuano tu na shemeji yenu lakini kupata mtoto ni NO KUBWA!.

Sitaki tena mateso ya kukaa miezi kadhaa mambo yangu yakiwa yame-staki!.

Hivi ndugu zangu na nyie huwa mnapitia hii hali?,au ni maneno tu ya wanasamu?
Watoto ni baraka ongeza na mwingiñe tena, tumeambiwa tuijaze dunia
 
Achana na imani potofu. Haina ukweli wowote.

Mkeo Rehema alikuwa anazalisha? Kama ndiyo, sasa kasimama kutokana na hali yake ya mimba. Kila kitu sasa kinakutegemea wewe. Lazima uone gape la hela.

Pili, mkeo akipata mimba maana yake kuna vitu extra inakubidi ugharamike, haswa muda. Kama mimba itakuwa inampelekesha, utahitaji muda wa ziada kuwa naye karibu. Maana yake muda wa kujitafutia kipato utapungua na automatically kipato nacho kitapungua. Na pengine kidogo kinachopatikana, kinatumika zaidi.

Tatu, kipindi cha mimba huwa na stress sana kwa wazazi wote. Na mawazo hayo hupunguza kiwango cha utendaji na hivyo kushusha morali ya upambanaji. Kwa mantiki hiyo, kipato nacho hupungua.

Nne, kipindi cha mimba ni kiashirio kuwa familia imeongezeka. Na kuongezeka kwa familia na matumizi pia huongezeka. Kipato kama hakijaongezeka tofauti na awali lazima uone kama unayumba.

Unaona mambo hunyooka kwa sababu mtoto huleta ari kwa wazazi kupambana ili kutimiza mahitaji. Mungu huweka baraka pia katikati ya familia. Ndiyo maana unapata breakthrough.

Achana na imani za ovyo. Muombe Mungu akupiganie. Kila la kheri.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Sitarajii tena kumpa mimba mwanamke wangu Rehema, akifanikiwa kujifungua salama mwezi wa 10 basi hawa ndio watakuwa watoto wangu wa mwisho na sitotarajia tena kupata watoto kwasababu ni kujifunga kwa mambo yangu!.

Kwanza kabisa nipende kumshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke mzuri wa sura na umbo, pili namshukuru Mungu kwa kunipatia watoto wawili ambao wako hai ukiacha huyo anayetarajiwa muda si mrefu, mimi UMUGHAKA nimebahatika kupata watoto wawili kwa mwanamke wangu Rehema ambaye nilimuelezea vizuri kwenye simulizi yangu ya
- Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mtoto wangu wa Kwanza niwa kiume na wa pili niwa kike,huyu mwingine tunayetarajia kumpata niwa kike pia baada ya kuthibitisha kutoka kwa wataalamu.

Kilichofanya kuandika hapa ni kwasababu kuna mambo siyaelewi,wakati mwanamke wangu amepata mimba ya mwanangu wa kwanza mambo yalikuwa hayaendi kabisa lakini kwasababu sikuwa na ili wala lile sikuelewa chochote, sasa kuna mama mmoja ni jirani yangu hapa ninapoishi nimejaribu kumshirikisha ndipo ni kama kanifungua macho ya kiroho na kimwili pia.

Mimi " Mama yaani mambo yamegoma kabisa,kila dili zinakataa na mipango pia haiendi kabisa"

Mama jirani " Shida ni nini mwanangu?"

Mimi "Mambo yamegoma kabisa Mama,sipati pesa kama miezi ya nyuma"

Mama Jirani "Wewe si mkeo mjamzito,sasa unategemea mambo yanyooke wakati una kikwazo kwenye tumbo la mkeo!"

Mimi " "

Mama Jirani " Unashangaa!,ndo hivyo mambo yako yatanyooka baada ya mkeo kujifungua!"

Nilidhani yule mama anatania lakini nilipomuuliza maswali zaidi aliniambia nijaribu kurudisha akili nyuma kabla ya kupata watoto wangu,ndipo nikagundua ya kwamba wakati mke wangu mzuri Rehema ana mimba zote mbili kabla ya hii aliyonayo mambo pia yalikuwa magumu mno hadi alipokuwa anajifungua,kiukweli mimi sikuwahi kufahamu lolote kuhusu hii sayansi hadi mtu mzima huyu alipokuja kunifungua macho!.

Aisee nimekaa chini na kutafakari nimegundua ni kweli kabisa ya kwamba kila wakati mwanamke wangu anapobeba mimba huwa napitia wakati mgumu sana lakini akishajifungua mambo huwa tambarare kama kumsukuma mlevi.

Baada ya kuligundua hilo nimepanga kwasasa itakuwa mwendo wa mizagamuano tu na shemeji yenu lakini kupata mtoto ni NO KUBWA!.

Sitaki tena mateso ya kukaa miezi kadhaa mambo yangu yakiwa yame-staki!.

Hivi ndugu zangu na nyie huwa mnapitia hii hali?,au ni maneno tu ya wanasamu?
Labda hili ni maalum kwa wajasiriamali. Waajiriwa wafanye kazi ama wategee, mshahara upo tu.
 
Achana na imani potofu. Haina ukweli wowote.

Mkeo Rehema alikuwa anazalisha? Kama ndiyo, sasa kasimama kutokana na hali yake ya mimba. Kila kitu sasa kinakutegemea wewe. Lazima uone gape la hela.

Pili, mkeo akipata mimba maana yake kuna vitu extra inakubidi ugharamike, haswa muda. Kama mimba itakuwa inampelekesha, utahitaji muda wa ziada kuwa naye karibu. Maana yake muda wa kujitafutia kipato utapungua na automatically kipato nacho kitapungua. Na pengine kidogo kinachopatikana, kinatumika zaidi.

Tatu, kipindi cha mimba huwa na stress sana kwa wazazi wote. Na mawazo hayo hupunguza kiwango cha utendaji na hivyo kushusha morali ya upambanaji. Kwa mantiki hiyo, kipato nacho hupungua.

Nne, kipindi cha mimba ni kiashirio kuwa familia imeongezeka. Na kuongezeka kwa familia na matumizi pia huongezeka. Kipato kama hakijaongezeka tofauti na awali lazima uone kama unayumba.

Unaona mambo hunyooka kwa sababu mtoto huleta ari kwa wazazi kupambana ili kutimiza mahitaji. Mungu huweka baraka pia katikati ya familia. Ndiyo maana unapata breakthrough.

Achana na imani za ovyo. Muombe Mungu akupuganie. Kila la kheri.
una hekima sana mkuu! asipokuelewa baasi tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom